Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
wadau,mi waifu wangu sio mtu wa mitandao kabisa japokuwa ni graduate na ana kazi yake.hata acc fb hana,anapenda vitu simpo simpo sana kasoro kuvaa ndo anapenda avae vizuri.amekuwa akiniona mi nashinda na laptop muda wote nachat napost etc etc.ana access na acc yangu ya fb so huwa anaingia kushangaa shangaa.jana jioni kanishangaza sana,amekurupuka tu anaanza kuniambia anataka username yangu na password nayotumia jamii forums.sasa nashangaa waifu kawaje au nani kamjanjatusha hadi akurupuke tu eti anataka acc yangu ya jf
wadau,mi waifu wangu sio mtu wa mitandao kabisa japokuwa ni graduate na ana kazi yake.hata acc fb hana,anapenda vitu simpo simpo sana kasoro kuvaa ndo anapenda avae vizuri.amekuwa akiniona mi nashinda na laptop muda wote nachat napost etc etc.ana access na acc yangu ya fb so huwa anaingia kushangaa shangaa.jana jioni kanishangaza sana,amekurupuka tu anaanza kuniambia anataka username yangu na password nayotumia jamii forums.sasa nashangaa waifu kawaje au nani kamjanjatusha hadi akurupuke tu eti anataka acc yangu ya jf
Haujatuambia alivokwambia umpe ulimjibu nini?!! Unaweza kumpa tu, kwani kuna lolote la ajabu jf? yeye anaingiaga? JF kwani kuna kutongozana jamani, kama kashajiridhisha na fb kuwa hauna tatizo basi huku jf mbona anakuja kujiridhisha tu pia! Lakini usisahau na wewe kumwomba username yake ya JF, akisema hana muulize ye jf kaijuaje?!! Skutii presha, lakini inawezekana ana mshkaji mwingine pembeni amabaye anamfunza yote haya... HUENDA UNAIBIWA MPWA!
nachohofia ni yeye kuona post zangu ambazo zingine hapaswi kuziona
Kakakaka kakaaaa, post gani ambazo wewe zinakutia mashak, nina wasiwasi na huko inbox kwako mkuu! teh teh.
Kakakaka kakaaaa, post gani ambazo wewe zinakutia mashak, nina wasiwasi na huko inbox kwako mkuu! teh teh.
anasaka maumivu