Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,234
Hali imezidi kuwa mbaya huko Kenya katika maandamano yanaendelea lakini pia wanaibuka wahuni na kufanya mambo yao ya hovyo sana sasa hizi ni Kelele za Umma Baada ya Wahuni Kuvamia Hospitali ya Kitengela, Kuvuruga Upasuaji wa Mama Mjamzito na Kuharibu Kituo cha Upasuaji