Wahuni wavamia Hospitali ya Kitengela, Kuvuruga Upasuaji wa Mama Mjamzito na Kuharibu Kituo cha Upasuaji

Wahuni wavamia Hospitali ya Kitengela, Kuvuruga Upasuaji wa Mama Mjamzito na Kuharibu Kituo cha Upasuaji

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Hali imezidi kuwa mbaya huko Kenya katika maandamano yanaendelea lakini pia wanaibuka wahuni na kufanya mambo yao ya hovyo sana sasa hizi ni Kelele za Umma Baada ya Wahuni Kuvamia Hospitali ya Kitengela, Kuvuruga Upasuaji wa Mama Mjamzito na Kuharibu Kituo cha Upasuaji



snapins-ai_3672031362436698096.jpg
 
Halafu kuna watu wameng'ang'ania No reform no election.
Inahusiana nini na kuvunja hospitali? Watu wasipoenda kwenye vituo vya kupigia kura na badala yake wakaamua kulala tu siku nzima wewe utavunjika miguu? Hospitali itawaka moto? Au bibi yako atashikwa na tumbo la kuhara? Punguza upmbavu
 
Mtu anayechezea amani
ndio mana mtu anayechezea amani ya nchi ni wakufanywa chekecheke
ANAEVURUGA AMANI Ni yupi basi?? Ni yule asiyetaka kutoa haki wala HATAKI kuwasikiliza wanaonewa, wanaotekwa, wanaobambikiziwa kesi. Yule anayedai haki nchi hii ndiyo inadaiwa KUWA anavuruga amani. Hapana, tutoe tafsiri halisi maana halisi ya kuvuruga amani, sio kudai haki bali kupora haki za watu kuhatarisha amani ya nchi. TUTENDE HAKI, TUACHE KUTEKA WATU. KAMA WATU WANAFANYA MAKOSA WAPELEKWE MAHAKAMANI
 
Back
Top Bottom