kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 322
- 902
Wakuu nimeamini tunapendwa sana na mademu sisi wahuni, wanaume ambao hatufagilii pigo za kuendeshwa na mademu tunapendwa mno. Life style yangu la kihuni limenipatia mademu kibao,
Mimi uwa sitongozi mara mbili demu akizingua anapita kushoto sinaga kulazimisha, Nimefanikiwa kula pisi zaidi ya 100 tena pisi kali. Mademu wengi wazuri wanatupenda, nakwambia ukiwa na misimamo ya kihuni haukubali kuendeshwa akili na demu utawala hadi uwachoke.
Kwa kumalizia wahuni peponi
Mimi uwa sitongozi mara mbili demu akizingua anapita kushoto sinaga kulazimisha, Nimefanikiwa kula pisi zaidi ya 100 tena pisi kali. Mademu wengi wazuri wanatupenda, nakwambia ukiwa na misimamo ya kihuni haukubali kuendeshwa akili na demu utawala hadi uwachoke.
Kwa kumalizia wahuni peponi
