Wahitimu wa Vyuo Vikuu mtaikumbaka sana UKAWA

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,314
152,113
Nina hakika licha ya UKAWA kuja na sera ya kutoe elimu bure mpaka Chuo Kikuu na pia kuahidi kufuta mikopo kwa wote waliokuwa wanadaiwa na Bodi ya Mikopo,bado kuna wahitimu wengi tu wa Vyuo Vikuu pamoja na wazazi wao walikataa kuipa kura UKAWA na sasa wataanza kulalama baada ya kuanza kubanwa kurejesha mikopo hiyo.


Mimi nasema kwasababu sisi ni wanafiki na hatupendi kuwapa nafasi wapinzani,basi huu ni wakati wa kuvuna tulichopanda kwani hata mwaka 2010 CHADEMA waliposema elimu bure bado watanzania wengi hawakuchagua upinzani.

Ni wakati wa kuisoma namba na kuwakumbuka UKAWA na sera zao bora.CCM imewapumbaza wengi na wengi wamekuwa watumwa wa hiki chama kifikra hata kama mtu ni msomi.
 
Nyinyi nyumbu wa CCM ndio mnanifanya niamini "brain evolution" is still underway in Africa.

2020 wakija na sera ya elimu bure mpaka chuo kikuu mtawapigia makofi.Kweli brain yetu bado sana!
Tena kwa huyo ndio umegonga penyewe. Yeye huwa haangalii mantiki ya hoja Bali kuja na vioja. Awali nilidhani huwa anaandika akiwa kalewa sasa hata asubuhi kalewa?
Hoja yako kuhusu wasomi ni ya msingi
 
Mbona hataree,waliojidai kusoma Sayansi mtalipa sana,ugumu kwenye masomo na maisha pia,waliosoma social sayansi wakiwa wanamaliza kulipa mkopo wanasayansi wanaendelea kulipa.
 
Nina hakika licha ya UKAWA kuja na sera ya kutoe elimu bure mpaka Chuo Kikuu na pia kuahidi kufuta mikopo kwa wote waliokuwa wanadaiwa na Bodi ya Mikopo,bado kuna wahitimu wengi tu wa Vyuo Vikuu pamoja na wazazi wao walikataa kuipa kura UKAWA na sasa wataanza kulalama baada ya kuanza kubanwa kurejesha mikopo hiyo.


Mimi nasema kwasababu sisi ni wanafiki na hatupendi kuwapa nafasi wapinzani,basi huu ni wakati wa kuvuna tulichopanda kwani hata mwaka 2010 CHADEMA waliposema elimu bure bado watanzania wengi hawakuchagua upinzani.

Ni wakati wa kuisoma namba na kuwakumbuka UKAWA na sera zao bora.CCM imewapumbaza wengi na wengi wamekuwa watumwa wa hiki chama kifikra hata kama mtu ni msomi.
Nimeamini kuwa ukawa sio tu lazima uwe nyumbu inabidi kulamba matapishi iwe ni kazi yako ya kawaida


Nyie nyie mmekuwa mnakesha kuponda elimu Bure ya Rais JPM Leo mnakuja na ushudu wa ukawa kukumbukwa elimu Bure

Yule journalist alisema watanzania wana IQ ndogo hakukosea
 
Back
Top Bottom