Wahitimu wa ngazi ya cheti, diploma na degree kwa fani za biashara, mipango kazi na maendeleo ya jamii mnaopatikana Tunduma na maeneo ya jirani naomba tuwasiliane nina wazo la kuwa na kikundi kitakachohusika na mambo ya ujasiriamali na maendeleo ya jamii yetu.
Hii ni katika kujikwamua na suala hili la ukosefu wa ajira, nina mawazo kabambe juu ya hili pia nina nia thabiti.
Mawasiliano:
0762 774 900
mtigad@yahoo.com
Nawasilisha.
Hii ni katika kujikwamua na suala hili la ukosefu wa ajira, nina mawazo kabambe juu ya hili pia nina nia thabiti.
Mawasiliano:
0762 774 900
mtigad@yahoo.com
Nawasilisha.