meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Kuna tetesi kuwa wahisani wamegoma kutoa hela hivyo halmashauri nyingi ziko katika wakati mgumu wa kutekeleza mipango yake iliyojipangia kwa mwaka 2012/2013.
Kama tetesi hizi ni za kweli basi tunawajibika kuelimisha serikali yetu mbadala wa kutegemea wahisani.
Kama tetesi hizi ni za kweli basi tunawajibika kuelimisha serikali yetu mbadala wa kutegemea wahisani.