Aje wandugu? Eti ni kwanini katika mahojiano ya kazi na wahindi wanauliza maswali ya familia yako. Mfano baba na mama yako wanafanya kazi gani? Kwenu mpo wangapi?
Wahindi wengi ni maskini sana wanakuja kutajirikia Tanzania ndiyo maana wao wakipata kazi wanaleta mpaka bibi mzaa babu Tanzania maana maisha kwao ni tough.Sasa huwa wanauliza maswali ya namna hii kujua una wategemezi wangapi kama wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.