Wahi nyumba inapangishwa (Dar)

Mhache

JF-Expert Member
Jun 20, 2008
345
24
Nyumba iliyopo Mbezi Luisi karibu na Mbezi High School inapangishwa. Nyumba ina Sebule, chumba cha kulala na stoo. Kodi ni shilingi 100,000/= kwa mwezi. Malipo ni kwa mwaka. Kwa mawasiliano nitwangie kupitia 0754 383 416.
 
Nyumba iliyopo Mbezi Luisi karibu na Mbezi High School inapangishwa. Nyumba ina Sebule, chumba cha kulala na stoo. Kodi ni shilingi 100,000/= kwa mwezi. Malipo ni kwa mwaka. Kwa mawasiliano nitwangie kupitia 0754 383 416.

umeshapata m2?
 
Du h nyumba? Nyumb ina chumba na sebule. Hahahaha. Bana sema chumba na sebule
 
Utakavyoiita ni sawa tu. Kwa waliosema ni chumba na sebule ni sawa pia. Nyumba yenyewe ina stoo, jiko na choo. Kwa wale wenye kuhitaji tuwasiliane mpangaji hajapatikana.
 
Back
Top Bottom