Nyumba iliyopo Mbezi Luisi karibu na Mbezi High School inapangishwa. Nyumba ina Sebule, chumba cha kulala na stoo. Kodi ni shilingi 100,000/= kwa mwezi. Malipo ni kwa mwaka. Kwa mawasiliano nitwangie kupitia 0754 383 416.
Du h nyumba? Nyumb ina chumba na sebule. Hahahaha. Bana sema chumba na sebule
</p>hahahaha! Ina stoo pia. Amesahau kusema choo na bafu.