Waheshimu sana Ex's wako

Waheshimu sana Ex's wako

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,284
Reaction score
39,510
Habar za jpili wanabodi
Kama mada inavosomeka hapo juu, kumekuwa na wingu kubwa sana saiv hasa kwa watu kuachana na kuanza kutupiana maneno ya hapa na pale na hta kujenga uadui.

Mapenz sio vita wala uadui, nini nataka kusema ikitokea mmeachana msijenge uadui but muendelee kuish kama before hamjadate, maisha ni circle unaweza jenga uadui kwa ex wako then unakuja kumkuta oficin akashindwa kukupa kazi au ukaja kuwa na shida afu na yeye ndo msaada pekee wa kukusaidia.

Muheshimu sana lakn usimpe nafas sana hasa kwenye chats nk, kwan itapelekea kupasha viporo, point hapa usimtafute sana na kama upo kwenye mahusiano mapya mwambie ajue ili asije kukuvurugia mahusiano yako na ikiwezkana usimtafute kabisa kata mawasiliano ila hakikisha mpo kwenye good term na sio maadui.

NB: Jana mimi yamenikuta nilikutana na girl frend wangu tuliachana since 2014 na tuliachana vizuri,yeye ndio aliyenikumbuka na akanipa dili la pesa connection. Tulipiga story nyingi sana akaniambia ana mtu wake na me nkamwambia ninae pia nampenda.

TUWAHESHIMU SANA MA'EX WETU.
 
Nakupa mwezi ulete mrejesho
Sidhani kama utamwacha
 
Huyo kwisha kabisa mzee hahaha kipolo kama kawaida
 
Ninachokifanya mimi hata anutukane vipi namsifia maujanaja ya kitandani hata kama alikuwa mchovu na mpaka mafuta hadi anaishia kuuliza hawakupi vizuri kama mie? Namjibu ndiyooo. Ugomvi unaisha, kesho yake anaomba hela kwangu
 
Kuna msishana mmoja alikuwa demu wangu enzi za A level tukazinguana kinoma sana nikampiga chini kwa shiit za kutosha na makofi juu

Dah! mwezi january mwaka huu nikakutana nae kwenye ile supermarket ya jeshi hapo kilwa road karibu na saba saba, kumamaqe ana drive Range Rover Vogue ya 2015, then me nilikiwa na ki-Vizt cha 2007 tena cha home

Dah kuna neno moja aliniambia mpk leo halijanitoka kichwani aissee!!
 
Kwa hiyo ukamtamaani! Ulimuuliza hiyo range kaipataje?
Kuna msishana mmoja alikuwa demu wangu enzi za A level tukazinguana kinoma sana nikampiga chini kwa shiit za kutosha na makofi juu

Dah! mwezi january mwaka huu nikakutana nae kwenye ile supermarket ya jeshi hapo kilwa road karibu na saba saba, kumamaqe ana drive Range Rover Vogue ya 2015, then me nilikiwa na ki-Vizt cha 2007 tena cha home

Dah kuna neno moja aliniambia mpk leo halijanitoka kichwani aissee!!
 
Habar za jpili wanabodi
Kama mada inavosomeka hapo juu, kumekuwa na wingu kubwa sana saiv hasa kwa watu kuachana na kuanza kutupiana maneno ya hapa na pale na hta kujenga uadui.

Mapenz sio vita wala uadui, nini nataka kusema ikitokea mmeachana msijenge uadui but muendelee kuish kama before hamjadate, maisha ni circle unaweza jenga uadui kwa ex wako then unakuja kumkuta oficin akashindwa kukupa kazi au ukaja kuwa na shida afu na yeye ndo msaada pekee wa kukusaidia.

Muheshimu sana lakn usimpe nafas sana hasa kwenye chats nk, kwan itapelekea kupasha viporo, point hapa usimtafute sana na kama upo kwenye mahusiano mapya mwambie ajue ili asije kukuvurugia mahusiano yako na ikiwezkana usimtafute kabisa kata mawasiliano ila hakikisha mpo kwenye good term na sio maadui.

NB: Jana mimi yamenikuta nilikutana na girl frend wangu tuliachana since 2014 na tuliachana vizuri,yeye ndio aliyenikumbuka na akanipa dili la pesa connection. Tulipiga story nyingi sana akaniambia ana mtu wake na me nkamwambia ninae pia nampenda.

TUWAHESHIMU SANA MA'EX WETU.
Pambana mwana, na dili jamaa Dubai ametunzwa sana
 
mimi nilishaapia sili kiporo wala sigusi au kukaribia viporo.....tumeshaachana kila mtu na hamsini zake hii kuanza kufikiria "atanisadia"sihitaji msaada wa ex-! ..uvivu na wivu vinakusumbua mleta uzi....aliyezoea vya kunyonga......!ndio nyie vya kuchinja hamviwezi tuachieni sisi wanaume wa mikoani!
wanaume wa Dar ni wavivu halafu hawajui kutongoza.....unaanzaje kujipendekeza kisa mtu anamiliki gari,duka,kazi nzuri.....!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom