“Vijana mkumbuke mtapata heshima katika biashara siyo tu kutokana na mafanikio ya kibiashara bali pia uhusiano wako na jamii inayokuzunguka”
Reginald Mengi
2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.