Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,716
- 45,117
Naamini wote mnamkumbuka Fernando Torres El Nino.
Jamaa alipotoka Atletico Madrid kwenda Liverpool alikuwa wa moto sana. Alipofika Liverpool hakuhitaji apewe muda, aliuwasha moto kwa haraka. Alikuwa straika tishio, hilo halikuwa na ubishi. Hata mmoja wa mabeki mahiri kwa miaka hyo ndani ya EPL, Nemanja Vidic alikuwa anapata shida ya kumkaba Torres. Ilifikia kipindi Vidic alipata kadi 3 nyekundu katika mechi 3 mfululizo wanazokutana Man Utd Vs Liverpool.
Ila Torres alipohama tu kwenda Chelsea, matatizo yalianzia hapo na hakuwahi kurudi katika ubora wake aliokuwa nao Liver. Mengi yamezungumzwa, ikiwemo Didier Drogba kuhusika ktk misumari.
Je nini kilimfanya Torres apotee kwenye ramani ya soka mara tu baada ya kuhama Liverpool?
Jamaa alipotoka Atletico Madrid kwenda Liverpool alikuwa wa moto sana. Alipofika Liverpool hakuhitaji apewe muda, aliuwasha moto kwa haraka. Alikuwa straika tishio, hilo halikuwa na ubishi. Hata mmoja wa mabeki mahiri kwa miaka hyo ndani ya EPL, Nemanja Vidic alikuwa anapata shida ya kumkaba Torres. Ilifikia kipindi Vidic alipata kadi 3 nyekundu katika mechi 3 mfululizo wanazokutana Man Utd Vs Liverpool.
Ila Torres alipohama tu kwenda Chelsea, matatizo yalianzia hapo na hakuwahi kurudi katika ubora wake aliokuwa nao Liver. Mengi yamezungumzwa, ikiwemo Didier Drogba kuhusika ktk misumari.
Je nini kilimfanya Torres apotee kwenye ramani ya soka mara tu baada ya kuhama Liverpool?