Wahehe na Tohara

Huko Kwenye hitimisho umeangalia upande mmoja tuu Ndugu,Akina mama Je?wanapenda vipi?
 
eeee umeleta uzi murua kweli kweli. Pamoja na makabila mengine kutajwa kwamba hawatahiri wajaluo ni kiboko maana unaweza kumkuta mwanamume wa kijaluo ana kile "chifuniko" urefu inchi mbili akienda mtoni kufua nguo hulazimika pia kufua hicho "chifuniko."
 
Unajua waarabu wameanza kuingia mwambao wa pwani karne ya ngapi?
Ipo siku utadai makabila ya pwani yamekuwa wafuasi wa imani ya kiarabu/uislam hata kabla ya muingiliano na waajemi na waarabu.
Karne ya 3 AD, historia nyingine inaonyesha mwaka 80 AD waliingia wayunani(persians) na wagiriki, tafuta Periplus of Indian Ocean itakupa majibu. Waarabu waliingia karne ya 10 na tayari walikuta uislam upo maeneo ya pwani hususan Kilwa na Zenj-bar(the coast of black people).
 

Na ndio sababu asilimia ndogo sana ya Wahehe wana vibamia. Usipende kumtahili mtoto akiwa mdogo
 
Usiwe mbishi sana hali hujui chochote juu ya mambo haya. Umejibu hovyo na umechanganya mambo-jitahidi kusoma kwa kuelewa na si kukariri kama unasoma Kuruani.
Kwa taarifa yako Persians siyo Wayunani bali ni Waajemi yaani waarabu toka Ghuba ya Uajemi katika nchi za Iran, Iraki na Kuwait-hawa ndo wameleta uislam na utamaduni wa kiarabu katika ukanda wa pwani ya Afrika Mashariki, na kisha kusambaa hadi bara kupitia Waomani.
Wayunani ni Wagiriki toka nchi ya Ugiriki katika bara Ulaya.
Wavamizi hawa hususani waarab ndo wameleta tamaduni za kiarabu pwani, kabla ya hapo hapakuwa na uislam wala kuvaa madera/kanzu, hapakuwa na mambo ya ajab kama ya kiarab EA.
 
Wanyakyusa,wachaga,wahaya. Wangoni. Ukiondoa makabila ya pwani,huko bara tohara unaonekana kama kilema
Dah kuna jembe moja la 'Kinyaki' lilitahiriwa mwaka juzi. Tukachangishwa kwamba amepata ajali na ogo akatengeneza mkononi. Lakini wafukunyuku tukazinyaka siku ya pili tu.
 
Kuhusu wayunani na persians, nakiri ni makosa yangu wakati naandika lakini si kwa kutokujua. Hayo mengine uliyoandika, tufanye haya, wewe ulikuwepo miaka hiyo. Hayo mapovu mengine bora kayatumie kufulia nguo za mumeo huko kwenu mnakoolewa na magovinda. Hii pwani karibu makabaila yote tunaondoa govinda since kitambo sana kabla ya hata waarabu wa oman hawajaingia. Mada ni govinda ambalo wengi wenu tumewakata mlipoingia mjini.
 
Kwa akili hizi matope endelea kuvaa kanzu maana kichwani u mweupe kama wale walimu wako wa madrasa ndo maana mnaishia kupata zero mmekalia ujinga ujinga tu na kukaa vibarazani.
pumbafu kabisa siku nyhngine ufiche ujinga wako wa kiarabuarab hayawani mkubwa wahi kwenye vigodoro mamako katanguliwa katega mkundu muwahi ukacheze naye.
 
Umeeleza mambo muhimu sana hapa ika cha msingi kaondoe govinda kwanza hilo. Haya mengine yote yapo tu. Hata yesu aliondoa, kwa hiyo fanya hima.
 

Mbona povu zinakumwagika kutoka mianya yote mkuu ? tumia ubongo sio mdomo katika falsafa na kufikiria
 
Shule gani ulienda wewe mkuu au shule ya mitusi
 
Unapotaka kufanya utafiti waki2frani nendasehemu husika ukashuhudie usizuezue mambo usio yajua,)
 
Ukiwa Muslim lazima utahiliwe no matter kabila. Kwani ni ustaarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…