Mimi nilitahiriwa nikiwa na miaka 18 kwa hiari yangu sio utamaduni wetu kutahiri lakini sioni umuhimu wa kufanya hivyo glans sio sensitive kama niliyokuwa mwanzo ngozi yake imekuwa sawa na ya maeneo mengine kama mkono
Govinda.
Sitaki kuamini, yaani Wajaluo wana ile kitu?Wajaluo
Umeandika vyema! lakini hapo kwenye mikoa umeenda kombo kidogo.
Kilimanjaro wanatahiri toka zamani.
Kijana wako anaweza kutimiza miaka kumi hujamtahiri?
twakatwa magovi sieAshakum si matusi "mnakatwa" tena!
twakatwa magovi sie
Nataka kufahamu tu! Wahehe hawana Utamaduni wa kuwatahiri watoto wao wakiume?
Nimeona wanaume watu wazima wakihamasishwa kufanyiwa tohara.
Si jambo baya ila ni vyema kuwatahiri wakiwa watoto.
Nilidhani ni wasukuma tu, wasiokuwa na utamaduni huu...
Ni makabila gani mengine hapa nchini wasiokuwa na mila na desturi hii?
una uhakika na ulichosema?Hivi wewe mtoto wa bosi wa TRA, baba yako anajuwa kuwa unachezea hela za umma hapo juu? Jichung, nimeshapeleka habari zako kwa kamanda Kova, hivi mnakaa mtaa gani vile?
Umeandika vyema! lakini hapo kwenye mikoa umeenda kombo kidogo.
Kilimanjaro wanatahiri toka zamani.
Kama wasukuma hiviNikweli mkuu...ila kimikoa kaenda kombo kabisa.kama dodom singida wanatahiri toka dhamani....hata hivyo asilimia kubwa ya watazania wanatahiriwa nimikoa michache tu ambayo hawatahiri.haswa makabila flaniflan..
Unasemaje wewe? Mi ni wa pwani nna historia ya ukoo wetu toka karne ya 11 mkoloni mzungu hata tongo hazijamtoka na tangu enzi hizo walikuwa wakiondoa govi. Basi tu siku hizi jiji limebadilika enzi hizo govi hakuwa na namna ya kuoa watu wa pwani kama hajatahiri. Kwa kifupi makabila ya pwani yamekuwa yakitahiri karne nyingi nyuma.Makabila yaliyokuwa yanatahiri wanaume nchi hii kabla ya ujio wa mkoloni hayazidi mawili nayo yalitahiri tu wale waliokuwa na matatuzo ya ku-slidisha mkono wa sweta; zaidi yalikeketa wanawake tu sasa unaposema wasukuma sijui wahehe ndo hawatahiri vijana wao ni mzungu au mwarabu wa oman?
Unajua waarabu wameanza kuingia mwambao wa pwani karne ya ngapi?Unasemaje wewe? Mi ni wa pwani nna historia ya ukoo wetu toka karne ya 11 mkoloni mzungu hata tongo hazijamtoka na tangu enzi hizo walikuwa wakiondoa govi. Basi tu siku hizi jiji limebadilika enzi hizo govi hakuwa na namna ya kuoa watu wa pwani kama hajatahiri. Kwa kifupi makabila ya pwani yamekuwa yakitahiri karne nyingi nyuma.
Ladha na aibu kipi bora?Mkuu, wahehe hawatahiri, mikoa mingi sana tanznaia hawatahiri kabisa. mkoa wa iringa, njombe, mbeya, rukwa/sumbawanga, kigoma, mwanza,tabora,dodoma,ruvuma, kagera yote, Kilimanjaro, hawatahiri kabisa. ukiona mtu ametahiri ujue amekulia mjini au amejipeleka mwenyewe akiwa mtu mzima. au labda awe amezaliwa familia ya kiislam ndio wanatahiri, ila dini zingine hawathubutu kabisa.
mikoa wanayotahiri ni kama tanga, lindi, dsm, pwani,mtwara,arusha,mara/wakurya, manyara etc, hao wengine wanafanya kimila ila wengine ni kwasababu ya dini ya kiislam hasa ukanda wa pwani. in general, itis possible kwamba asilimia 50% ya watz wanatoka makabila yasiyotahiriwa na hawajatahiriwa kabisa hadi leo. nashukuru Mungu nimetahiriwa kwasababu kutotahiriwa ni aibu kubwa nafikiri, pamoja na kwamba natoka kabila lisilotahiri, isipokuwa, kama ningekuwa sijatahiri hadi leo, nisingetahiriwa kwasababu naamini mtu asiyetahiriwa pengine anapata ladha bora zaidi kuliko mimi niliyetahiri, ndio maana wazungu wameanza kampeni ya kukataza watoto kutahiri baada ya study kuonyesha mtu asiyetahiriwa anaona utamu kuliko aliyetahiriwa.