Mkuu hujanielewa,,, namaanisha mkopo wenye makato ya tsh.100,000 laki moja,, kwa muda wa 10 yrs ,,,na riba ya mkopo 17% na bima ya 1% ikatwe kwa mkupuo: Utapokea Sh. 99,000 baada ya makato ya bima. (Kumbuka: Riba ya Sh. 170,000 itakuwa ikilipwa pamoja na mkopo wa msingi kwa muda wa miaka 10, lakini hiyo haikui makato ya awali.)
Kumbuka hyo laki si mkopo bali ni makato ya mkopo kwa miaka 10: Utapokea Sh. 99,000 baada ya makato ya bima. (Kumbuka: Riba ya Sh. 170,000 itakuwa ikilipwa pamoja na mkopo wa msingi kwa muda wa miaka 10, lakini hiyo haikui makato ya awali.)
Shukrani sana kaka umenipa mwongozo mzrchukua 100,000x120= 12,000,000/= kama jumla ya mkopo pamoja na riba ndani ya miaka 10.
Kumbuka hii ni 117% ya mkopo hivyo ukitafuta 100% (ambayo ndio mkopo wako) ya 12,000,000/= unapata kwenye 10,256,000/= hivi.
Hii sijafanya kihasibu zaidi ila kimahesabu. Nakubali kukosolewa kihasibu pia.
Hapo kwa mwaka utakuwa unalipa 1,200,000 (100,000× 12)Mkopo wenye makato ya sh.100,000/ ,,,riba 17%,,,muda wa mkopo miaka 10. Je,nitakopeshwa sh ngapi!? Kumbuka bima 1% inakatwa kwa mkupuo.
Si kweli hata kidogochukua 100,000x120= 12,000,000/= kama jumla ya mkopo pamoja na riba ndani ya miaka 10.
Kumbuka hii ni 117% ya mkopo hivyo ukitafuta 100% (ambayo ndio mkopo wako) ya 12,000,000/= unapata kwenye 10,256,000/= hivi.
Hii sijafanya kihasibu zaidi ila kimahesabu. Nakubali kukosolewa kihasibu pia.
Inawezekana ukawa sahihi mkuu.Si kweli hata kidogo
Kwa makato ya 100,000 kwa mwaka ni 1,200,000 na kwa miaka kumi ni 12,000,000.
Kumbuka malipo ya jumla = mkopo + 170% ya mkopo kama faida = 270% ya alichokopa