Wahamiaji haramu 79 watiwa mbaroni

Safiiii sasa hivi ndo tuna serikali kah lilikuwa dampo mtu anakuja anaanzisha makazi kaaa kwao kesho mnakutana njia anakusalimia kidhungu unamuona kaenda shule kumbe mkenya na wabongo wakisikia how ar u wanaona ohhhh huyu si mwenzetu kasoma huyu kumbe mkenya aiisee balaaaaaa
 
Ikumbukwe hawa watu hawafukuzwi ila wanatakiwa wafate sheria zetu, hata raia wetu akikamatwa anazubaa mjini atashikwa tu aulizwe anafanya nini huku mbona anazagaa tu, sasa wageni waje kihalali hakuna atakayewabughudhi. Nilishawahi kukataliwa kupewa huduma kwenye hospital ya serikali kwa sababu nilikuwa na tourist visa na waligoma wakadai labda niende private huko.
 
Mbona hatuwataji fulani na fulani wapo mahali fulani hamjawakamata. Kwa nini tunataka kuwa watu wakulia lia?
 
Unawakosaje wahind huko kwenye shoppers plaza na baadh ya viwanda
 
Wilaya ya Kaliua wapo kibao ila watu wa uhamiaji wamegeuza wakimbizi ATM. Wakiishiwa wanaenda wapiga biti wanapewa mpunga jamaa wanaendelea kupeta.
 
Uonevu tu. Na nchi nyingine wakisema wafukuze watanzania tutapona
Mkuu kwenye sheria hakuna Deko wala mahaba,wafate tu sheria waendelee "kutesa" bongo hayo ya nchi nyingine ni ya Ngoswe tumuachie mwenyewe Ngoswe.
 
pale chuo kikuu cha kimataifa kampala mbona wapo wengi sana ina maana hamjawaona
Hizi ni drama eti mhindinmmoja.. Ha ha haha hh uhamiaji nashauri ifumuliwe haluna kitu pale.. Haya maigizo mchana kweupeee
 
Hawa wapo kibao hapa huawei Tz HQ, wameshajipatia hadi uraia kwa njia ya magumashi na mbaya zaidi huyo anayehangaika kuwatafutia uraia ni mkenya na wanamlipa vizuri anaitwa bea
Nchi ishakuwa ya kisengerema tayari.
 
Hii kamata kamata feki hakuna Mkenya hata mmoja.
 
Uonevu tu. Na nchi nyingine wakisema wafukuze watanzania tutapona
Sio uonevu ndugu yangu kwani haukusikia watu wa south Africa walivyokuwa wanawafukuza wageni sababu wanafanya kazi ambazo wao wanaweza kufanya mfano petrol station so wawafukuze tu Kama wanapenda Tanzania wafate process Kama wengine
 
Hawa watanzania waliokamatwa kama makuwadi kuwapeleka mabint wetu arabuni ni pamoja na yule akiyekuwa mbunge wa tmk? Kama yule hawajamkamata basi hii ni batili.
 
Vipi kinanaa hayupo kwenye huo mkumbo?
 
Unadhani Nchi nyingine unaweza ishi bila kibali?
Tembea uone, UK hata siku 2 haziishi ukarudishwa ulikotoka.
Vipi yule mzee wa binduki kiunoni wa tabora kapona kweli?
 
Kwenye makampuni ya simu wamejaa kibao, wamefrustrate Watanzania na kajaza wahindi kibao. Kipindi cha uongozi wa kaburu kazi zilifanywa na Watanzania kwa kiwango cha juu, akaja dalali anaitwa Nokia Siemens 'NOKIA' kufanya yake, control center Kahama Shia India Chenai, huku kakata ajira. Ni mengi, anafanya hadi udalali kwa Vodacom kula cha juu kwenye mishahara ya Watanzania kwa kupitia makampuni ya ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…