Wahamiaji haramu 42 wakamatwa Kijitonyama

Wahamiaji haramu 42 wakamatwa Kijitonyama

Interest

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
3,434
Reaction score
7,092
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Mkoani Dar es Salaam linawashikilia wahamiaji haramu 42 waliokamatwa eneo kijitonyama kisiwani Wilayani Kinondoni.
 
Hizo ndio maskani au sanctuary za wamalawi na kawe sijui kwanini. Hivi wajumbe wa nyumba kumi wanatimiza wajibu wao kweli. Nadhani hawa watu iwe ni ajira ya watu waliosoma na kuwa trained. Wao wanasubiri deal tuu za mtaani
 
Hizo ndio maskani au sanctuary za wamalawi na kawe sijui kwanini. Hivi wajumbe wa nyumba kumi wanatimiza wajibu wao kweli. Nadhani hawa watu iwe ni ajira ya watu waliosoma na kuwa trained. Wao wanasubiri deal tuu za mtaani

Ao wajumbe watimize wajibu wao wanalipwa na nani, kazi ya kujitolea hiyo kaka
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Mkoani Dar es Salaam linawashikilia wahamiaji haramu 42 waliokamatwa eneo kijitonyama kisiwani Wilayani Kinondoni.

mkuu ni kijitonyama mpakani B block 47
 
waje na huku mbezi beach maeneo ya sokoni.kuna wamalawi mara wacongo wanafanya kazi saloon sijui ni wakimbizi au vipi
 
Ktk wahamihaji wote nawaogopa sana wanyarwanda,maana ufikia mpk kutaka kushika nyadhfa za juu serikalini!
 
Back
Top Bottom