Hao Wahaya wa Kenya majina yao ni kama yapi kwa pande zote mbili?
Mwanzo umeanza vizuri .
Ni kweli maasai wapo Kenya na Tanzania ,kadhalika Wajaluo ,wapo Tanzania ,Kenya , na Uganda (wapo wachache)
Ila nadhani ulitaka kumaanisha wahaya wapo Tanzania na Uganda japo kila upande wanatambulika kwa kabila tofauti ila majina ya kufanana yapo ,maana akina Tusiime wapo Tanzania na Uganda wapo ila sio Kenya.