Waha /Abaha ni Wanyarwanda?

Naungana na wewe CCM inatapanya taifa Bora kwa pk anajenga nchi yake NI Bora niende huko nikakae kwenye nchi Safi na elimu Safi .

Mkuu hao waliopo Rwanda wanatamani kutoka lakini hawawezi
 
Hao Wahaya wa Kenya majina yao ni kama yapi kwa pande zote mbili?

Mwanzo umeanza vizuri .

Ni kweli maasai wapo Kenya na Tanzania ,kadhalika Wajaluo ,wapo Tanzania ,Kenya , na Uganda (wapo wachache)

Ila nadhani ulitaka kumaanisha wahaya wapo Tanzania na Uganda japo kila upande wanatambulika kwa kabila tofauti ila majina ya kufanana yapo ,maana akina Tusiime wapo Tanzania na Uganda wapo ila sio Kenya.
 
Kumradhi mkuu nilitaka kumaanisha uganda na tz
 
Huu ni wehu flani wa kupenda superior race
Wazenji wote wanadhani waarabu
Waha wengi husema wao watusi
Sijawahi kusikia muha akijinadi kuwa mtusi, muha anajinadi kulingana na miiko ya ukoo wake, kinyume chake ni sahihi, ni rahisi kwa muha kumgundua mtusi au mhutu.
 
Unyaruwanda ni utaifa, hata Mzaramo, Musukuma, mzungu, Mwarabu n.k anaweza kuwa Mnyarwanda
 
Kama tuna Watanzania wenye asili ya Uingereza kina Mr. Mabala, hao wenye asili ya Rwanda na Burundi si ajabu.

Tanzania imejengwa kwa umoja wa kitaifa, si kwa ukabila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…