GATS
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 240
- 17
Nimewaandikia nyinyi nijua huwa mnapita humu ndani. Sasa basi nyie waheshimiwa hamuoni umhimu wa kuwa na chombo cha habari cha CDM ambacho kitatujuza mambo ambayo hatuyapati. Mfano ni jana tu Habari za Tabora vyombo vingi vilificha kabisa hizo habari lakini watu wengi walikuwa na nia ya kujua nini kinaendelea.
Tunaomba muonyeshe njia sisi tutachangia uwezo huo tunao tunahitaji watu wa kuonyesha njia tu.
Tumechoka na vyombo vilivyonunuliwa na CCM jamani. Vinachakachua habari sana.
Tunaomba muonyeshe njia sisi tutachangia uwezo huo tunao tunahitaji watu wa kuonyesha njia tu.
Tumechoka na vyombo vilivyonunuliwa na CCM jamani. Vinachakachua habari sana.