Mkuu, Injinia Hersi kakatwa na wajumbe. Huyu nae ana shida ya ajira?. Nafikiri tatizo ni weledi mbovu wa viongozi kiasi kwamba kila mtu akiwa maarufu tu anajiona anafaa. Vilevile qualifications zetu za kupata viongozi ni nyepesi sanaTatizo la ajira ndio jibu sahihi
Majibu yote ni sawa ila jibu sahihi zaidi ni D
Mkuu, Injinia Hersi kakatwa na wajumbe. Huyu nae ana shida ya ajira?. Nafikiri tatizo ni weledi mbovu wa viongozi kiasi kwamba kila mtu akiwa maarufu tu anajiona anafaa. Vilevile qualifications zetu za kupata viongozi ni nyepesi sana