Ingekuwa mimi ndio hawa wananchi badala ya kukaa na kuwacheka ningekata fimbo na kuwatimua mbio hawa wanaoleta aibu kama hii ya kujidhalilisha mbele ya watoto wadogo, hivi kweli ndani ya nyumba uwe na mtu kama huyu eti ndiye Mkeo au mumeo utajisikiaje ukimkuta anapiga magoti au kugalagala mbele za watu eti anaomba Kura.