Wageni wote wajisajili kwa Balozi

Wageni wote wajisajili kwa Balozi

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
165db73e-02f0-4732-9693-3cad1655ab5f.jpg
 
Hii Safi Na miji mikubwa kama Dar waige hahahaah
 
Hicho kijiji kinastahili tuzo maana huo utaratibu ndio unaotakiwa, hata wahamiaji haramu wanadhibitiwa.
 
masista duh wote watakuwa washakimbia, vijana nao wateja wa bia na viroba kwenye vigrosary vya mwenyekiti au mjumbe nao wote washakimbia, watabaki vizee,. = UMASIKINI,
 
Hiyo no 1 na 3 ziko vizuri sana,ila hiyo no 2 waifanyie marekebisho ya dharula watakuwa hawawatendei haki wanaofanyakazi usiku.
 
Back
Top Bottom