wageni wengine! mmh

MWENYEJI; Mbona hiyo chai imeshaandaliwa na ipo kwenye chupa? MGENI; Ok, acha ninywe chai, wakati nasubiri hiyo soda kutoka dukani.
 
MWENYEJI; hata soda ipo tayari kwenye friji
MGENI: Nipe tu vyote maana nahisi chai ni ya moto sana ko ntapozea na soda. Asante
 
MWENYEJI: Utakunywa soda au chai?
MGENI: Nitakunywa soda wakati nasubiri chai ichemke! AMEOMBA LIFT ANATAKA APIGE NA HONI......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…