Waganga ni waongo

Yaani bado unamtafuta mganga mwengine
 
MWENZAKO ALILIWA KIULAINI KULEEE TANDIKA,
ALIINGIZIWA DAWA KWENYE PAPUCHI NA KICHWA KISICHO NA MABEGA
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
Kama hakukugegeda tu Mshukuru Mungu!

Ila kwa hasira hizi nina Mashaka huenda vumbi la Kongo lilihusika
 
Kama ni rahisi hvyo ngoja niwe mganga nianze kuingiza daww
yes unaweza maana asilimia kubwa ni waongo zaidi wanafaidika na pesa na papuchi za watu waliokata tamaa na maisha

You can try mjin ujanjaa unaandaa tu matunguri yako ya uwongo na kweli😀
 
Komaa na mungu wako kwa Iman yako atakupa zaid ya hiyo unavyovitaj
 
Plan maisha yako vizuri waganga wenyewe wamefeli kuplan ndo maana wapo hivyo alafu we unaenda kutaka msaada kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…