Waganda,waganda mtaniua....aisee

Waganda,waganda mtaniua....aisee

Wakuu mimi ndo jembe la afrika nipendae watoto weusi, jaman huku ni nouma tangu nimeingi border ya malaba mimi huyo jinja,nikapitia kireka,boyogerere,banda jamani nikafika stend nikashuka hapo nikachukua daladala ya kwenda seguku .

Nikiwa na mwenyeji wangu maeneo ya kabalagala si akanitafutia mtoto akajilengesha si nikachukua room,jaman hayo mapaja meusii uwiiiii ni matam balaaaaaaaa.

Jaman yaan bongo mnisahau sing"o siwezi kuacha vitu vizuri.

Miguu ya bia iko huku,wowowooo ndo usiseme balaa,namshukuru mseven kwa kuwazuia kuvaa vimin maana ningekufa,

BONGO MNISAHAU SIJI,TUTAKUTANA HUMUHUMU JF.

JEMBE AFRIKA.

utakuja kwenye box
 
Uganda ogopa kwa ngoma..according to VOANEWS uganda ndio inaongoza sasa kwa maambukizi ya kasi ya ugonjwa wa Ukimwi..SO chunga kijanaa
 
Uganda ogopa kwa ngoma..according to VOANEWS uganda ndio inaongoza sasa kwa maambukizi ya kasi ya ugonjwa wa Ukimwi..SO chunga kijanaa
hakuna mwenye takwim kamili,mbona tz wanakufa kama nzige?usinitishe!
 
Wakuu mimi ndo jembe la afrika nipendae watoto weusi, jaman huku ni nouma tangu nimeingi border ya malaba mimi huyo jinja,nikapitia kireka,boyogerere,banda jamani nikafika stend nikashuka hapo nikachukua daladala ya kwenda seguku .

Nikiwa na mwenyeji wangu maeneo ya kabalagala si akanitafutia mtoto akajilengesha si nikachukua room,jaman hayo mapaja meusii uwiiiii ni matam balaaaaaaaa.

Jaman yaan bongo mnisahau sing"o siwezi kuacha vitu vizuri.

Miguu ya bia iko huku,wowowooo ndo usiseme balaa,namshukuru mseven kwa kuwazuia kuvaa vimin maana ningekufa,

BONGO MNISAHAU SIJI,TUTAKUTANA HUMUHUMU JF.

JEMBE AFRIKA.
Na utkufa kweli...idadi ya wenye ukimwi ni 1,200,000,hiyo ni data za kawaida,huko dr.anahongwa anatoa majibu mazuri kama una cente,ili kufa upesi..tembelea na sax pub,angenoir na makerere,wanapenda sana wa tz kz waganda hawatahiriwi na wabongo ni light skinned na sura nzuri,ndugu zako wana hizi taaatfa?...My condolences!
 
hakuna mwenye takwim kamili,mbona tz wanakufa kama nzige?usinitishe!

Kwahyo unahisi nnakutisha??sasa kwann nikutishe kwan wewe mtoto?au unahisi nakuonea wivuu?? wazungu wanasema every action has equal or opposite reaction sasa wewe subiri kulazimishwa kwenda kanisan ukiwa jenezani
 
Na utkufa kweli...idadi ya wenye ukimwi ni 1,200,000,hiyo ni data za kawaida,huko dr.anahongwa anatoa majibu mazuri kama una cente,ili kufa upesi..tembelea na sax pub,angenoir na makerere,wanapenda sana wa tz kz waganda hawatahiriwi na wabongo ni light skinned na sura nzuri,ndugu zako wana hizi taaatfa?...My condolences!
ngoja tugawane virusi,huyu anachukua vya kiume na yule anachukua vya kike kwa hiyo havizaliani...loading error...
 
Na utkufa kweli...idadi ya wenye ukimwi ni 1,200,000,hiyo ni data za kawaida,huko dr.anahongwa anatoa majibu mazuri kama una cente,ili kufa upesi..tembelea na sax pub,angenoir na makerere,wanapenda sana wa tz kz waganda hawatahiriwi na wabongo ni light skinned na sura nzuri,ndugu zako wana hizi taaatfa?...My condolences!
sifi,kwan wewe ni israeli?..loading error...
 
Wakuu mimi ndo jembe la afrika nipendae watoto weusi, jaman huku ni nouma tangu nimeingi border ya malaba mimi huyo jinja,nikapitia kireka,boyogerere,banda jamani nikafika stend nikashuka hapo nikachukua daladala ya kwenda seguku .

Nikiwa na mwenyeji wangu maeneo ya kabalagala si akanitafutia mtoto akajilengesha si nikachukua room,jaman hayo mapaja meusii uwiiiii ni matam balaaaaaaaa.

Jaman yaan bongo mnisahau sing"o siwezi kuacha vitu vizuri.

Miguu ya bia iko huku,wowowooo ndo usiseme balaa,namshukuru mseven kwa kuwazuia kuvaa vimin maana ningekufa,

BONGO MNISAHAU SIJI,TUTAKUTANA HUMUHUMU JF.

JEMBE AFRIKA.

We mhuni utategeshewa mimba muda sio mrefu... nenda mdogo mdogo. Kila la heri
 
Back
Top Bottom