mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,160
- 22,615
Asante sana raia wa rwandaKwa kweli mm nawatakia majirani zetu wa Uganda kila la heri hapo kesho wachomoze na ushindi mapema asubuhi. Mafundisho yanatuasa tuwapende majirani zetu. Uganda Cranes 3 - Taifa Stars a.k.a kichwa cha mwendawazimu 0.
Huyu jamaa ana gundu na huo ndio wasiwasi tulionao wengi...Waambie Bashite ndio m/kiti wa kamati ya uhamasishaji T.stars hivyo wajiandae na kipigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiandika hivi hata siwezi kuwa wa Rwanda. Mimi nabaki kuwa wa hapa hapa na shabiki no.1 wa Uganda CranesAsante sana raia wa rwanda
Sawa lkn ndo wanatukandia hivi kama vile atujuani?
Afe mpaka kocha na benchi zima la ufundi pale kwa mchina atoki mutu.
Unashangaa nini?Kwani Mechi ya Simba na Vita hukuwaona wacongo wa kuchonga wakishangilia?Kuna watu Tz lkn cha ajabu hawaitakii mema Taifa stars kufuzu Africon sasa kesho tukishinda muache unafiki kujifanya na nyinyi mnamapenzi na timu ya Taifa mbaki na chuki zenu hivyo hivyo
Simba kwani timu ya taifa unajue labda wengine tokea kipindi cha utotoni wao walikuwa washabiki wa As vita km wanavyoshabikia timu za ulaya sasa ni kosa kushangilia timu yake ? mimi hapa ni shabiki wa kutupwa wa kaizer chiefsUnashangaa nini?Kwani Mechi ya Simba na Vita hukuwaona wacongo wa kuchonga wakishangilia?
Hawa wanajiandaa na kutengeneza timu kwaajili ya Afcon siyo starsEbwana heee!! Awajama wanapenda sifa bwana kama mnavyojuwa timu yao ya taifa imeishafuzu kwa point 13 kiasi kwamba ata tukishinda au lesotho kushinda atuwezi isogelea kileleni ata kidogo.
Ajabu sasa timu imeweka kambi misri nakama haitoshi wamecheza na mechi ya kirafiki yani utafikili wanakwenda kucheza mechi ya ufunguzi world cup.
Leo sasa nikiwa mpakani mtukula jamaa wamekodi basi nne za friends full bendera ya taifa full vuvuzela eti wanakuja dar kushangilia timu.Sasa najiuliza hii mijamaa inamalengo gani na sisi mpaka watufanyie hivi? au labda kunasehemu tuliwakwaza tukawaombe samahani ata kesho kabla ya mechi?.
Pole ndugu yangu kwa maisha magumu sisi kwetu full rahaYaani na maisha yalivyo magumu hivi eti tuishangilie Taifa Stars ...kesho.
Huu utakuwa ukichaa sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli watanzania walio wengi hawataki timu yetu ya taifa iende Africon bali wanataka timu yao iende kwenye mashindano ya AFCON. Ha ha ha jus a jokeKuna watu Tz lkn cha ajabu hawaitakii mema Taifa stars kufuzu Africon sasa kesho tukishinda muache unafiki kujifanya na nyinyi mnamapenzi na timu ya Taifa mbaki na chuki zenu hivyo hivyo
Wakongo Wa kuchonga bado tupo tunawasubiria wakongomani wenzetu wengine watakujaUnashangaa nini?Kwani Mechi ya Simba na Vita hukuwaona wacongo wa kuchonga wakishangilia?
Kwa mfano Mimi hapa ni shabiki Wa kutupwa Wa TP Mazembe. Na hii ilianzia pale Mbwana Samatta alipojiunga nao na kucheza kwa mafanikio sanaSimba kwani timu ya taifa unajue labda wengine tokea kipindi cha utotoni wao walikuwa washabiki wa As vita km wanavyoshabikia timu za ulaya sasa ni kosa kushangilia timu yake ? mimi hapa ni shabiki wa kutupwa wa kaizer chiefs
Hata Evra alishangilia Man U ilivyocheza na PSG japo yy ni mfaransa kwa sababu yeye ni Man U hakujali kwamba Psg ya kwao ufaransaKwa mfano Mimi hapa ni shabiki Wa kutupwa Wa TP Mazembe. Na hii ilianzia pale Mbwana Samatta alipojiunga nao na kucheza kwa mafanikio sana