Waganda hii sasa misifa

Kwa kweli mm nawatakia majirani zetu wa Uganda kila la heri hapo kesho wachomoze na ushindi mapema asubuhi. Mafundisho yanatuasa tuwapende majirani zetu. Uganda Cranes 3 - Taifa Stars a.k.a kichwa cha mwendawazimu 0.
 
Kwa kweli mm nawatakia majirani zetu wa Uganda kila la heri hapo kesho wachomoze na ushindi mapema asubuhi. Mafundisho yanatuasa tuwapende majirani zetu. Uganda Cranes 3 - Taifa Stars a.k.a kichwa cha mwendawazimu 0.
Asante sana raia wa rwanda
 
Kuna watu Tz lkn cha ajabu hawaitakii mema Taifa stars kufuzu Africon sasa kesho tukishinda muache unafiki kujifanya na nyinyi mnamapenzi na timu ya Taifa mbaki na chuki zenu hivyo hivyo
 
Kuna watu Tz lkn cha ajabu hawaitakii mema Taifa stars kufuzu Africon sasa kesho tukishinda muache unafiki kujifanya na nyinyi mnamapenzi na timu ya Taifa mbaki na chuki zenu hivyo hivyo
Unashangaa nini?Kwani Mechi ya Simba na Vita hukuwaona wacongo wa kuchonga wakishangilia?
 
Unashangaa nini?Kwani Mechi ya Simba na Vita hukuwaona wacongo wa kuchonga wakishangilia?
Simba kwani timu ya taifa unajue labda wengine tokea kipindi cha utotoni wao walikuwa washabiki wa As vita km wanavyoshabikia timu za ulaya sasa ni kosa kushangilia timu yake ? mimi hapa ni shabiki wa kutupwa wa kaizer chiefs
 
Ebwana heee!! Awajama wanapenda sifa bwana kama mnavyojuwa timu yao ya taifa imeishafuzu kwa point 13 kiasi kwamba ata tukishinda au lesotho kushinda atuwezi isogelea kileleni ata kidogo.

Ajabu sasa timu imeweka kambi misri nakama haitoshi wamecheza na mechi ya kirafiki yani utafikili wanakwenda kucheza mechi ya ufunguzi world cup.

Leo sasa nikiwa mpakani mtukula jamaa wamekodi basi nne za friends full bendera ya taifa full vuvuzela eti wanakuja dar kushangilia timu.Sasa najiuliza hii mijamaa inamalengo gani na sisi mpaka watufanyie hivi? au labda kunasehemu tuliwakwaza tukawaombe samahani ata kesho kabla ya mechi?.
Hawa wanajiandaa na kutengeneza timu kwaajili ya Afcon siyo stars
 
Kuna watu Tz lkn cha ajabu hawaitakii mema Taifa stars kufuzu Africon sasa kesho tukishinda muache unafiki kujifanya na nyinyi mnamapenzi na timu ya Taifa mbaki na chuki zenu hivyo hivyo
Ni kweli watanzania walio wengi hawataki timu yetu ya taifa iende Africon bali wanataka timu yao iende kwenye mashindano ya AFCON. Ha ha ha jus a joke
 
Simba kwani timu ya taifa unajue labda wengine tokea kipindi cha utotoni wao walikuwa washabiki wa As vita km wanavyoshabikia timu za ulaya sasa ni kosa kushangilia timu yake ? mimi hapa ni shabiki wa kutupwa wa kaizer chiefs
Kwa mfano Mimi hapa ni shabiki Wa kutupwa Wa TP Mazembe. Na hii ilianzia pale Mbwana Samatta alipojiunga nao na kucheza kwa mafanikio sana
 
Kwa mfano Mimi hapa ni shabiki Wa kutupwa Wa TP Mazembe. Na hii ilianzia pale Mbwana Samatta alipojiunga nao na kucheza kwa mafanikio sana
Hata Evra alishangilia Man U ilivyocheza na PSG japo yy ni mfaransa kwa sababu yeye ni Man U hakujali kwamba Psg ya kwao ufaransa
 
Mifano mfu. Evra umeshawahi kumkuta anashangilia timu ya taifa ya nchi nyingine ikicheza na Ufaransa?
Anashangilia Man United kwa sababu ni timu yake iliyomfanya maarufu na hata kuchukua ubingwa mara kadhaa.
Kushangilia waganda kwa kisingizio cha siasa ni ujinga uliopevuka.
Ndio sababu unakuta wachezaji wengi hawashangilii wakifunga dhidi ya timu zao za zamani kuonyesha heshima
 
Back
Top Bottom