Wafugaji wamtosa lowasa:


Eeehhhh.... !!! Sawa tumempata mgombea wa UKAWA. JAMANI KUNA MTU ANASWALI LOLOTE JUU YAKE?? Mi nianze nakumuuliza leo mbona umekimbia mkutano karatu? usikimbie jibu maswali tafadhali.
 
Lowassa ana ngombe aprox: 10,000 na kama sio zaidi, lakini ngombe zake hazikosi malisho wala maji .
 

Haaaaaah ww me nlfkr akili zimo burundi na tanzania kwel?
 
Hii inaitwa Toroka Uje
 

Attachments

  • 1443840655118.jpg
    20.2 KB · Views: 70


Kwa taarifa yako Alisema ndani ya SIKU 100 ataunda TUME ya kutatua migogoro ya WAFUGAJI NA WAKULIMA.

Check hiyo LINK na uwache kuleta habari zako za LUMUMBA

Lowassa: Kwa siku 100 nitafanya mambo 13 - Kitaifa | Mwananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…