Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 366
Yaani wa kienyeji pure ni issue kupata. Ukikosa hao wa Ma Joe jaribu kutembelea masoko ya hapa dar unaweza kupata wa kuanzia.
Mkuu nilichukua vifaranga kwako,wanaendelea vizuri japo huyo mmoja ana mafua,ushauri tafadhali.