Huku sisi wa kwetu wamenyang'anywa mifugo bila fidia yoyote, ati kisa walikutwa wanachunga karibu na mapori ya akiba!!!Wafugaji wa kenya waliouziwa ng'ombe zao baada ya kuvuka mpaka na kuingia Tanzania, wamelipwa zaidi ya sh billion moja, kila ngombe mmoja serikali ya kenya imelipa sh million moja.