Wafuga kuku tukitane hapa

Wafuga kuku tukitane hapa

Print Fly

Member
Joined
Oct 12, 2021
Posts
50
Reaction score
48
Kama wewe ni mfugaji Basi karibu hapa tuweze kupeana ujuzi wa ufugaji bora pia kutatua changamoto tunazokumbana nazo kwenye mabanda yetu.

Waswahili wanasema

Cheni ina nguvu tu kama kiunganishi ni dhaifu
 
Kama wewe ni mfugaji Basi karibu hapa tuweze kupeana ujuzi wa ufugaji bora pia kutatua changamoto tunazokumbana nazo kwenye mabanda yetu.

Waswahili wanasema

Cheni ina nguvu tu kama kiunganishi ni dhaifu
Naomba kujua namna faida inavopatikana kwenye hii biashara
 
Kuku wangu wamekufa wengi Sana wanajisaidia choo Kama chokaa hivi , tatizo nini na tiba Nini ?
 
Ok wacha nipate point hapa....labda naweza pata pakuanzia
 
Back
Top Bottom