A abcdef New Member Jun 3, 2011 1 0 Mar 13, 2012 #1 hv jamani kweli kabisa hadi leo miaka 50 ya uhuru umeme bado unakatika mji mkubwa barabara mbili aibu kama vp tuwafilisi tu viongozi wote waliopita...
hv jamani kweli kabisa hadi leo miaka 50 ya uhuru umeme bado unakatika mji mkubwa barabara mbili aibu kama vp tuwafilisi tu viongozi wote waliopita...
BONGOLALA JF-Expert Member Sep 14, 2009 16,507 11,883 Mar 13, 2012 #2 hamasisha watu wa vijijini maana ndio wanaotuangusha ingawa mwaka ni 2015 mbali sana!TUSEME BASI IMETOSHA
hamasisha watu wa vijijini maana ndio wanaotuangusha ingawa mwaka ni 2015 mbali sana!TUSEME BASI IMETOSHA
1800 JF-Expert Member Dec 27, 2010 2,215 603 Mar 13, 2012 #5 Harlem said: Tuanze na Nyerere... Click to expand... Nyerere hakuwa mwizi wala fisadi,utamfirisi kwa kipi?
Harlem said: Tuanze na Nyerere... Click to expand... Nyerere hakuwa mwizi wala fisadi,utamfirisi kwa kipi?
D DOMA JF-Expert Member Mar 17, 2011 944 365 Mar 13, 2012 #8 Hapa mkapa na M.kw.er'e, lowasa na sumaye n.k