Wafanyakazi TRA wanahujumu mapato

Wafanyakazi TRA wanahujumu mapato

Pole ndugu yangu,
pia yamekuta, Nipo MKOA X nilinunu gari la biashara nikalipeleka Mkoa Y na TIN yangu ni ya MKOA X, sasa basi wakati umefika natakiwa nilipie kodi ya mapato, nimeshindwa kulipia kule Y na sasa certificate inatakiwa irudi X na ndio nilipie Mapato.

Hakika nchii hii ni majanga.
pole na wewe ndugu yangu, we are suffering the same disease kwa kutaka kuisaidia nchi yetu
 
Pole ndugu yangu,
pia yamekuta, Nipo MKOA X nilinunu gari la biashara nikalipeleka Mkoa Y na TIN yangu ni ya MKOA X, sasa basi wakati umefika natakiwa nilipie kodi ya mapato, nimeshindwa kulipia kule Y na sasa certificate inatakiwa irudi X na ndio nilipie Mapato.

Hakika nchii hii ni majanga.
pole na wewe ndugu yangu, we are suffering the same disease kwa kutaka kuisaidia nchi yetu
 
Achukuliwe hatua za kisheria.Maendeleo ya Wa-Tanzania kwa kiasi kikubwa yanaathiriwa na watanzania wenzetu ambao wameaminika na kupewa dhamana kubwa kuinua nchi hii lakini wao wanadidimiza.Astaafishwe kwa manufaa ya UMMA
 
kweli kabisa kwanini Noti mpya tz usirudi ukaendelee na kazi / biashara zako
kwani km upo makini utembee na hizo Tax Identification Number
Kwani wana mpango wa kuziingiza kweny simu za mitandao yetu na hapo sisi wakwepaji mtatuponza tutaanza kukatwa hadi Vocha

Tusiwachekee hao
 
Sasa kila kitu kama kiko kwenye system za TRA tatizo ni nini!? Jaribu kuwaona wa juu yake huyo Mama Kessy ili wakusaidie.

Kilichopo kwenye system in TIN number na siyo TAX File.

Mleta mada inawezekana alishafungua tax file kule Mwanza akalitelekeza sasa anataka afunguliwe faili jipya, kiutaratibu kana ana faili Mwanza lazima liangaliwe "compliance" ndiposa aombe faili lake lihamishiwe Arusha.
 
Back
Top Bottom