Wafanyakazi kuchelewa kulipwa mishahara ni uchaguzi wa igunga?

mchakachuaji

Member
Aug 12, 2010
58
7
Inaripotiwa kuwa wafanyakazi wengi wa Serikali wamechelewa kulipwa mishahara yao ya Mwezi wa 9, je hii inawezekana ni kutokana na serikali kutumia pesa nyingi katika uchaguzi wa Igunga ili Chama Cha Mapinduzi kishinde?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…