mchakachuaji
Member
- Aug 12, 2010
- 58
- 7
Inaripotiwa kuwa wafanyakazi wengi wa Serikali wamechelewa kulipwa mishahara yao ya Mwezi wa 9, je hii inawezekana ni kutokana na serikali kutumia pesa nyingi katika uchaguzi wa Igunga ili Chama Cha Mapinduzi kishinde?