waukweli100
Senior Member
- Aug 18, 2014
- 193
- 24
Kama we ni mfanyabiashara unaetoa bidhaa nje ya Tanzania kama Viatu, Simu, Nguo za watoto wachanga n.k. Naomba tuwasiliane kwa number +258 866 131 115. Nipo Mozambique ili tufanye biashara na wewe.
kama wewe ni mfanyabiashara wa viatu vya kike na kiume,naomba tufanye biashara wote,number yangu +258866131115
Mkuu nakumbukaa tulishaongea kwa simu, nikakwambia niko tayari ila leta wadhamini au kitu cha kukudhamini ukasema hakuna, ni ngumu sana kwa sasa mtu kukutumia mzigo bila kuwepo mkataba wa kibiashara wenye udhamini
Mc
Duh,MC umewastua wengi,kumbe uliisha mcheki halafu anakuja kivingineMkuu nakumbukaa tulishaongea kwa simu, nikakwambia niko tayari ila leta wadhamini au kitu cha kukudhamini ukasema hakuna, ni ngumu sana kwa sasa mtu kukutumia mzigo bila kuwepo mkataba wa kibiashara wenye udhamini
Mc
Duh,MC umewastua wengi,kumbe uliisha mcheki halafu anakuja kivingine
Kumbe jamaa anataka apelekewe mzigo kirahisi namna hiyo bila pesa.
Kama maisha yamemshinda Msumbiji si arudi bongo?yaani ameona wabongo vichwa maji namna hiyo.
msikurupuke 2 kama mmetoka kunajisiwa hii inawahusu wafanyabiashara,unacoment wewe unabiashara gani matako au?
Kama we ni mfanyabiashara unaetoa bidhaa nje ya Tanzania kama Viatu, Simu, Nguo za watoto wachanga n.k. Naomba tuwasiliane kwa number +258 866 131 115. Nipo Mozambique ili tufanye biashara na wewe.