Jackline XX
Member
- Aug 26, 2014
- 9
- 6
Wafanyabiashara wa mkoa wa Dodoma, wamelaani vikali hatua ya Chadema kufanya maandamano ambayo yameathiri shughuli zao za biashara kutokana na kufungwa kwa maduka na maeneo yao ya biashara. Wakizungumza kwa jazba na hisia wafanyabiashara waliomba viongozi wa Chadema kuwa na huruma na wananchi wa kipato Cha chini kwani wao ndio waathirika wakuu katika maandamano. Waliwataka kuwa wazalendo taifa Lao na kutumia njia zinazofaa kuwasilisha kilio chao.