PreGE2025 Wafanyabiashara 'Marafiki wa Samia' wamchangia Rais Samia TSh. milioni 700 kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Hahahaha ama kweli wahenga walisema mkono mtupu haulambwi!! Huku akina Lissu wanahangaika na tone tone haijafika hata 150M huku mtu mwenye chungu cha kujichotea tu mabilioni anachangiwa mil 700 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ama kweli Mbowe alikua tatizo la upinzani nchini na si Watanganyika πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

CC: JokaKuu Tindo G Sam Lord denning Proved Chakaza Ngongo et al
 
Hao mafisadi na wakwepa kodi wapiga dili wala hatushtuki. Wanawekeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…