Wafanyabiashara jueni hii kero na kuwa huwa mnafukuza wateja.

ISLETS

JF-Expert Member
Dec 29, 2012
8,121
5,332
Salamu kwa wafanyabishara wote, aluta continua.....

Kuna ishu moja binafsi imekuwa kero sana kwangu naona niiseme tu. Maeneo mengi ya biashara au ofisi za kazi mfano saluni, hotel/migahawa, dukani, nk kuna tatizo kubwa la kujazana watu wasio wateja, unakuta ni washkaji zako tu wamekaa kihasara harasa, hii kitu inakera sana na wakati mwingine wateja huwa tunakwazika.

Mfano unaingia barber shop, unakuta watu kama 10 wamekaa, kati ya hao wateja ni watatu tu, wengine wote wamekuja labda kuona mpira, hii huwa mnaona ni sawa?
Mtu anaweza kudhani kuna foleni akaaga akaondoka. Au akakaa tu ila asifurahie ile hali. Najua si mimi tu ninayekereka na hii hali.

Au, unakuta ni hotelini, umekula umemaliza, unapita counter kulipa unakuta mhudumu yuko bize na stori na mtu mwingine na wanachoongea ni nje ya kazi kabisa, wakati huo kapokea hela unasubiri chenji, hivi huwa hamgundui kuwa ni kero!!

Unapita dukani kununua kitu, unakuta watu wamekaa dukani, hawanunui kitu, ni stori tu na mwenye duka, au wanachungulia mpira kwenye Tv ya dukani. Mteja anayehitahi utulivu hawezi ingia duka kama hilo, atapita tu kama hajaliona vile.

Mifano hai ni mingi, kifupi mjue tu kuwa huwa mnafukuza wateja. Sio kila mtu anapenda misongamano na makelele. Ni vyema kama una ndugu au mshkaji kaja kupiga stori eneo la kazi, mchane makavu kuwa upo kazini, utamtafuta baada ya kazi muongee vizuri.
Na wale mnaopenda kujazana kwenye ofisi za watu kiharasa hasara, kupiga zogo au kuona mpira, kanunueni ving'amuzi vyenu au muende vibanda umiza, sio kuharibu biashara za watu.

Ni hayo tu.
Hasta la vista

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu kwa wafanyabishara wote, aluta continua.....

Kuna ishu moja binafsi imekuwa kero sana kwangu naona niiseme tu. Maeneo mengi ya biashara au ofisi za kazi mfano saluni, hotel/migahawa, dukani, nk kuna tatizo kubwa la kujazana watu wasio wateja, unakuta ni washkaji zako tu wamekaa kihasara harasa, hii kitu inakera sana na wakati mwingine wateja huwa tunakwazika.

Mfano unaingia barber shop, unakuta watu kama 10 wamekaa, kati ya hao wateja ni watatu tu, wengine wote wamekuja labda kuona mpira, hii huwa mnaona ni sawa?
Mtu anaweza kudhani kuna foleni akaaga akaondoka. Au akakaa tu ila asifurahie ile hali. Najua si mimi tu ninayekereka na hii hali.

Au, unakuta ni hotelini, umekula umemaliza, unapita counter kulipa unakuta mhudumu yuko bize na stori na mtu mwingine na wanachoongea ni nje ya kazi kabisa, wakati huo kapokea hela unasubiri chenji, hivi huwa hamgundui kuwa ni kero!!

Unapita dukani kununua kitu, unakuta watu wamekaa dukani, hawanunui kitu, ni stori tu na mwenye duka, au wanachungulia mpira kwenye Tv ya dukani. Mteja anayehitahi utulivu hawezi ingia duka kama hilo, atapita tu kama hajaliona vile.

Mifano hai ni mingi, kifupi mjue tu kuwa huwa mnafukuza wateja. Sio kila mtu anapenda misongamano na makelele. Ni vyema kama una ndugu au mshkaji kaja kupiga stori eneo la kazi, mchane makavu kuwa upo kazini, utamtafuta baada ya kazi muongee vizuri.
Na wale mnaopenda kujazana kwenye ofisi za watu kiharasa hasara, kupiga zogo au kuona mpira, kanunueni ving'amuzi vyenu au muende vibanda umiza, sio kuharibu biashara za watu.

Ni hayo tu.
Hasta la vista

Sent using Jamii Forums mobile app
Walahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu kwa wafanyabishara wote, aluta continua.....

Kuna ishu moja binafsi imekuwa kero sana kwangu naona niiseme tu. Maeneo mengi ya biashara au ofisi za kazi mfano saluni, hotel/migahawa, dukani, nk kuna tatizo kubwa la kujazana watu wasio wateja, unakuta ni washkaji zako tu wamekaa kihasara harasa, hii kitu inakera sana na wakati mwingine wateja huwa tunakwazika.

Mfano unaingia barber shop, unakuta watu kama 10 wamekaa, kati ya hao wateja ni watatu tu, wengine wote wamekuja labda kuona mpira, hii huwa mnaona ni sawa?
Mtu anaweza kudhani kuna foleni akaaga akaondoka. Au akakaa tu ila asifurahie ile hali. Najua si mimi tu ninayekereka na hii hali.

Au, unakuta ni hotelini, umekula umemaliza, unapita counter kulipa unakuta mhudumu yuko bize na stori na mtu mwingine na wanachoongea ni nje ya kazi kabisa, wakati huo kapokea hela unasubiri chenji, hivi huwa hamgundui kuwa ni kero!!

Unapita dukani kununua kitu, unakuta watu wamekaa dukani, hawanunui kitu, ni stori tu na mwenye duka, au wanachungulia mpira kwenye Tv ya dukani. Mteja anayehitahi utulivu hawezi ingia duka kama hilo, atapita tu kama hajaliona vile.

Mifano hai ni mingi, kifupi mjue tu kuwa huwa mnafukuza wateja. Sio kila mtu anapenda misongamano na makelele. Ni vyema kama una ndugu au mshkaji kaja kupiga stori eneo la kazi, mchane makavu kuwa upo kazini, utamtafuta baada ya kazi muongee vizuri.
Na wale mnaopenda kujazana kwenye ofisi za watu kiharasa hasara, kupiga zogo au kuona mpira, kanunueni ving'amuzi vyenu au muende vibanda umiza, sio kuharibu biashara za watu.

Ni hayo tu.
Hasta la vista

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu ajira hakuna bora ukae hata dukani kwa mwana unaweza pata chochote kitu mpaka jion kidogo mkono uingie kinywani. Wengi unaotuona hapo ni madalali tunatafta chakula


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu ajira hakuna bora ukae hata dukani kwa mwana unaweza pata chochote kitu mpaka jion kidogo mkono uingie kinywani. Wengi unaotuona hapo ni madalali tunatafta chakula


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ukikaa working shop ya msela omba hata umsadie vikazi kazi basi, sio kuwa kama mteja vile halafu hauna unachofanya unajaza nafasi tu.
Mfano kama ni barber shop omba hata ushike mashine mara moja kujifunza, sio kuvyoosha miguu kwenye sofa la ofisi ya watu umeshika na rimoti ya tv kama kwako.
 
Binafs nikienda barbershop nikakuta watu wamejaa ndani ambao sio wateja hua napita tu...

Wengine minyoo yetu ya ajabu sasa kumuelekeza kinyozi sana af mbele za watu kibao soo!!
 
Binafs nikienda barbershop nikakuta watu wamejaa ndani ambao sio wateja hua napita tu...

Wengine minyoo yetu ya ajabu sasa kumuelekeza kinyozi sana af mbele za watu kibao soo!!
Umeona mkuu, kuna ambao huwa tunaongea na kinyozi toka mwanzo wa kazi mpaka mwisho maana hair style zetu ni complicated. Sasa kama watu wamejazana daaa
 
Salamu kwa wafanyabishara wote, aluta continua.....

Kuna ishu moja binafsi imekuwa kero sana kwangu naona niiseme tu. Maeneo mengi ya biashara au ofisi za kazi mfano saluni, hotel/migahawa, dukani, nk kuna tatizo kubwa la kujazana watu wasio wateja, unakuta ni washkaji zako tu wamekaa kihasara harasa, hii kitu inakera sana na wakati mwingine wateja huwa tunakwazika.

Mfano unaingia barber shop, unakuta watu kama 10 wamekaa, kati ya hao wateja ni watatu tu, wengine wote wamekuja labda kuona mpira, hii huwa mnaona ni sawa?
Mtu anaweza kudhani kuna foleni akaaga akaondoka. Au akakaa tu ila asifurahie ile hali. Najua si mimi tu ninayekereka na hii hali.

Au, unakuta ni hotelini, umekula umemaliza, unapita counter kulipa unakuta mhudumu yuko bize na stori na mtu mwingine na wanachoongea ni nje ya kazi kabisa, wakati huo kapokea hela unasubiri chenji, hivi huwa hamgundui kuwa ni kero!!

Unapita dukani kununua kitu, unakuta watu wamekaa dukani, hawanunui kitu, ni stori tu na mwenye duka, au wanachungulia mpira kwenye Tv ya dukani. Mteja anayehitahi utulivu hawezi ingia duka kama hilo, atapita tu kama hajaliona vile.

Mifano hai ni mingi, kifupi mjue tu kuwa huwa mnafukuza wateja. Sio kila mtu anapenda misongamano na makelele. Ni vyema kama una ndugu au mshkaji kaja kupiga stori eneo la kazi, mchane makavu kuwa upo kazini, utamtafuta baada ya kazi muongee vizuri.
Na wale mnaopenda kujazana kwenye ofisi za watu kiharasa hasara, kupiga zogo au kuona mpira, kanunueni ving'amuzi vyenu au muende vibanda umiza, sio kuharibu biashara za watu.

Ni hayo tu.
Hasta la vista

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekugongea LIKE kama huamini nenda kakague
 
Back
Top Bottom