Waendeshaji wa Blue Pearl Hotel, Ubungo Plaza kutimuliwa na hoteli kufungwa

Halisi

JF-Expert Member
Jan 16, 2007
2,802
613
Kumekuwapo vikao vya wadau wa jengo la Ubungo Plaza, baada ya Wahindi wanaoendesha hoteli hiyo kutofautiana na menejimenti ya jengo la Ubungo Plaza.

Tayari wadau wa Ubungo Plaza, Shirika la Bima (NIC), NSSF na PSPF wamekutana kujadili hatima ya wamiliki hao ambao wanadaiwa kuingia katika jengo hilo wakiwa na nia ya kufilisi Ubungo Plaza Limited kwa kuifungulia kesi za kisanii.

Kesi moja wapo walifungua wakidai kwamba bawaba za milango ya jengo zilikuwa mbovu badala ya kushirikiana na menejimenti kurekebisha kama kweli zilikuwa na matatizo. Kama kawaida wakacheza na mahakama za chini wakashinda kesi lakini Ubungo Plaza wakakata rufani. Wakati rufani imekatwa wakaenda mahakamani kutaka kukazia hukumu walipwe Shilingi Bilioni sita (6bn/-) kama fidia, lakini wakaambiwa kuna hukumu.

Baada ya mahakama kusikiliza hukumu imebainika kwamba hawakuwa na hoja na hivyo Ubungo Plaza Limited wakashinda kesi na ndio sasa wameshituka na kupanga kuwatimua.

My take:
Majengo ya mifuko ya pensheni lazima waendeshaji wawe makini na matajiri maana inawezekana kabisa ndio michezo inayoendelea kama menejimenti haitakuwa makini kama ilivyokuwa kwa Ubungo Plaza. Wengine huwa wanakula na hao matajiri na kuachia tu mifuko inalipa mabilioni katika kesi za aina hii. Kuna kesi nyingi mahakamani zinazohusu taasisi za umma na wanasheria wanacheza na wahuni wachache na kusababisha fedha za wafanyakazi na za umma kupotea. Tusaidiane kufichua hizi kesi kadiri tunavyoweza ili tupige kelele na kusaidia kuokoa fedha zetu.
 
Mimi ukishaongelea mhindi roho inaruka juu inatoka kwenye kisahani chake


Na hao ndiyo wameharibu kabisa nchi hii, na ndiyo maana Mtikila alisema magabachori wote waondoke nchi hii, na kweli hao watu wanatakiwa kufutika maana ndiyo wanaangamiza nchi yetu
 
Kumekuwapo vikao vya wadau wa jengo la Ubungo Plaza, baada ya Wahindi wanaoendesha hoteli hiyo kutofautiana na menejimenti ya jengo la Ubungo Plaza.

Tayari wadau wa Ubungo Plaza, Shirika la Bima (NIC), NSSF na PSPF wamekutana kujadili hatima ya wamiliki hao ambao wanadaiwa kuingia katika jengo hilo wakiwa na nia ya kufilisi Ubungo Plaza Limited kwa kuifungulia kesi za kisanii.

Kesi moja wapo walifungua wakidai kwamba bawaba za milango ya jengo zilikuwa mbovu badala ya kushirikiana na menejimenti kurekebisha kama kweli zilikuwa na matatizo. Kama kawaida wakacheza na mahakama za chini wakashinda kesi lakini Ubungo Plaza wakakata rufani. Wakati rufani imekatwa wakaenda mahakamani kutaka kukazia hukumu walipwe Shilingi Bilioni sita (6bn/-) kama fidia, lakini wakaambiwa kuna hukumu.

Baada ya mahakama kusikiliza hukumu imebainika kwamba hawakuwa na hoja na hivyo Ubungo Plaza Limited wakashinda kesi na ndio sasa wameshituka na kupanga kuwatimua.

My take:
Majengo ya mifuko ya pensheni lazima waendeshaji wawe makini na matajiri maana inawezekana kabisa ndio michezo inayoendelea kama menejimenti haitakuwa makini kama ilivyokuwa kwa Ubungo Plaza. Wengine huwa wanakula na hao matajiri na kuachia tu mifuko inalipa mabilioni katika kesi za aina hii. Kuna kesi nyingi mahakamani zinazohusu taasisi za umma na wanasheria wanacheza na wahuni wachache na kusababisha fedha za wafanyakazi na za umma kupotea. Tusaidiane kufichua hizi kesi kadiri tunavyoweza ili tupige kelele na kusaidia kuokoa fedha zetu.

uwekezaji wa mifuko ya hifadhi ya jamii kwenye majengo unaleta hasara sana, Millenium Tower ya LAPF aliyepanga kuendesha hoteli katika jengo lile amekimbia na kiasi kikubwa cha deni hadi leo hii hajulikani alipo ( Ila kwa taarifa yupo SA ) jengo limitia hasara sana LAPF japo wakubwa wa mle wanajua dili lote.
 
Hao NIC wenyewe ni matapeli wakubwa na watumishi wa umma ndo wahanga wa utapeli huo.
 
Kumekuwapo vikao vya wadau wa jengo la Ubungo Plaza, baada ya Wahindi wanaoendesha hoteli hiyo kutofautiana na menejimenti ya jengo la Ubungo Plaza.

Tayari wadau wa Ubungo Plaza, Shirika la Bima (NIC), NSSF na PSPF wamekutana kujadili hatima ya wamiliki hao ambao wanadaiwa kuingia katika jengo hilo wakiwa na nia ya kufilisi Ubungo Plaza Limited kwa kuifungulia kesi za kisanii.

Kesi moja wapo walifungua wakidai kwamba bawaba za milango ya jengo zilikuwa mbovu badala ya kushirikiana na menejimenti kurekebisha kama kweli zilikuwa na matatizo. Kama kawaida wakacheza na mahakama za chini wakashinda kesi lakini Ubungo Plaza wakakata rufani. Wakati rufani imekatwa wakaenda mahakamani kutaka kukazia hukumu walipwe Shilingi Bilioni sita (6bn/-) kama fidia, lakini wakaambiwa kuna hukumu.

Baada ya mahakama kusikiliza hukumu imebainika kwamba hawakuwa na hoja na hivyo Ubungo Plaza Limited wakashinda kesi na ndio sasa wameshituka na kupanga kuwatimua.

My take:
Majengo ya mifuko ya pensheni lazima waendeshaji wawe makini na matajiri maana inawezekana kabisa ndio michezo inayoendelea kama menejimenti haitakuwa makini kama ilivyokuwa kwa Ubungo Plaza. Wengine huwa wanakula na hao matajiri na kuachia tu mifuko inalipa mabilioni katika kesi za aina hii. Kuna kesi nyingi mahakamani zinazohusu taasisi za umma na wanasheria wanacheza na wahuni wachache na kusababisha fedha za wafanyakazi na za umma kupotea. Tusaidiane kufichua hizi kesi kadiri tunavyoweza ili tupige kelele na kusaidia kuokoa fedha zetu.

Ifike wakati sasa hizi taasisi zetu za kitanzania ziamue kuwaamini wazawa! hata kama mtu hana hela lakini ana kipawa cha biashara wamkopeshe afanye miujiza! hao wahindi wengi wao kazi zao zoote zinafanywa na watanzania wao wanawakalisha makaratasi tu!
 
Na hao ndiyo wameharibu kabisa nchi hii, na ndiyo maana Mtikila alisema magabachori wote waondoke nchi hii, na kweli hao watu wanatakiwa kufutika maana ndiyo wanaangamiza nchi yetu

Mkuu,,hawa watu niwahamiaji hawawezi kutuibia bila mikono ya tuliowapa Dhamana kucmamia hiyo kitu so mi naona Tatizo ni cc wenyewe,,,,!!
 
Na Hawa wahindi wanalelewa na chama tawala na hawapo tayari kuona kikishindwa kwny uchaguzi kwa gharama yyt ile. Tender nyingi kubwa za nchi wanapewa wao, ipo siku watalia na kusaga meno. Pia ni wao wanaopigia kampeni uraia pacha uingizwe kwny katiba mpya ili iwe rahisi wakiiba wakimbie
 
Kumekuwapo vikao vya wadau wa jengo la Ubungo Plaza, baada ya Wahindi wanaoendesha hoteli hiyo kutofautiana na menejimenti ya jengo la Ubungo Plaza.

Tayari wadau wa Ubungo Plaza, Shirika la Bima (NIC), NSSF na PSPF wamekutana kujadili hatima ya wamiliki hao ambao wanadaiwa kuingia katika jengo hilo wakiwa na nia ya kufilisi Ubungo Plaza Limited kwa kuifungulia kesi za kisanii.

Kesi moja wapo walifungua wakidai kwamba bawaba za milango ya jengo zilikuwa mbovu badala ya kushirikiana na menejimenti kurekebisha kama kweli zilikuwa na matatizo. Kama kawaida wakacheza na mahakama za chini wakashinda kesi lakini Ubungo Plaza wakakata rufani. Wakati rufani imekatwa wakaenda mahakamani kutaka kukazia hukumu walipwe Shilingi Bilioni sita (6bn/-) kama fidia, lakini wakaambiwa kuna hukumu.

Baada ya mahakama kusikiliza hukumu imebainika kwamba hawakuwa na hoja na hivyo Ubungo Plaza Limited wakashinda kesi na ndio sasa wameshituka na kupanga kuwatimua.

My take:
Majengo ya mifuko ya pensheni lazima waendeshaji wawe makini na matajiri maana inawezekana kabisa ndio michezo inayoendelea kama menejimenti haitakuwa makini kama ilivyokuwa kwa Ubungo Plaza. Wengine huwa wanakula na hao matajiri na kuachia tu mifuko inalipa mabilioni katika kesi za aina hii. Kuna kesi nyingi mahakamani zinazohusu taasisi za umma na wanasheria wanacheza na wahuni wachache na kusababisha fedha za wafanyakazi na za umma kupotea. Tusaidiane kufichua hizi kesi kadiri tunavyoweza ili tupige kelele na kusaidia kuokoa fedha zetu.
nakumbuka hili jengo lilijengwa na mwenzao (manji) kiujanjaujanja tu. na hapa ndo alipoanza kujiingiza kwn ufadhili wa soka akaingia kufadhili timu pendwa hapa nchini ili kuwasahaulisha watz mabaya yake. kanjibahi, mimi iko penda sana tanzania, nchi juuri sana japo ni canadian citizen mimi bhanaa!
 
Mkuu,,hawa watu niwahamiaji hawawezi kutuibia bila mikono ya tuliowapa Dhamana kucmamia hiyo kitu so mi naona Tatizo ni cc wenyewe,,,,!!

Hapo umenena... lazima tuchukue hatua sasa
 
Hawa wahindi wapuuzi sana wanaifilisi nchi yetu huku baadhi ya taasisi muhimu Kama za kukusanya mapato nk wanashirikiana kutafuna pesa za wallpa kodi. Wahindi si wema wezi matapeli na zaidi wauaji wa uchumi wa nchi yetu
 
Mimi ukishaongelea mhindi roho inaruka juu inatoka kwenye kisahani chake

Roho isikuruke jombaa! wenzio wanashirikiana na hao wahindi, na deals kubwa zinapenya sehemu yoyote ngumu katika mihimili yote ya nchi hii.Huo ni mchongo tu ambao mwisho wa mchezo ni kuhamisha umiliki wa mabilioni. Usiwachukie ila shirikiana nao ndio utajua siri ya mafaikio yao.
 
Hawa wahindi wapuuzi sana wanaifilisi nchi yetu huku baadhi ya taasisi muhimu Kama za kukusanya mapato nk wanashirikiana kutafuna pesa za wallpa kodi. Wahindi si wema wezi matapeli na zaidi wauaji wa uchumi wa nchi yetu

Mkuu, mi naona wahindi hawawezi kuiba bila kushirikiana na tuliowapa dhamana ya uongozi. Badala ya kuwachukia wahindi, tuchukie watawala wa sasa walioruhusu nchi kuwa shamba la bibi kwa tamaa na ubinafsi wao. Tusipobadili mfumo wao msimu huu, huko mbele no majanga maana wanazidi kujichimbia madarakani, na kuandaa familia zao........
 
Back
Top Bottom