Mkuu natamani ningekona nokupe hingera kwa mdomo wangu, ni mambo ya kusikitisha sana, kwa bahati mbaya nchi ina puppet wengi mno, wanaume wanajipendekeza kwa wanaume wenzao mpaka inatia kinyaa.
Hivi tusingekuwa na utaratibu wa kuachiana madaraka huyo wanayemwona "mzuri' kwa sasa angepatikanaje? upumbavu unawasumbua watu.
Kama ulivyosema hata mi napata mashaka kwamba anaweza kuwa pandikizi la kuipeleka nchi kwenye machafuko. Ni wakati wa vyombo vya usalama wa taifa kumuangalia huyu mtu kwa jicho la tatu maana nasikia walinzi wake wa karibu si raia wa nchi hii.