Umeuziwa cha kondoo mkuu ndo huwa kuna wadudu
Napenda sana supu ya vichwa vya mbuzi
Inasemekana hata binadamu anao hao waduduLeo nimenunua Kichwa cha Mbuzi Vingunguti, ile kukipasua na kuanza kuchemsha ghafla naona wadudu..
Hii ikoje wakubwa,
Kama ni kawaida na binadamu pia ubongo unawadudu
Nami zamani nilidhani wamo kwenye vichwa vya kondoo tu kumbe na kwenye vichwa vya mbuzi wamo pia. Vichwa vingine unaweza kuwakuta wanne, cha kujiuliza huingiaje na hufanya nini ndani ya vichwa hivyo ila hawakai ndani ya ubongo bali wapo pembe zinapoanzia.Umeuziwa cha kondoo mkuu ndo huwa kuna wadudu
Napenda sana supu ya vichwa vya mbuzi
Acha uongo mkuu.
Karibia kila kichwa cha beberu mkubwa kina waduu. Sijui wa kazi gani wale aisee!!!!
Wadudu au mafuta?
Ni wadudu gani hao
Wadudu wakubwa wanafanana na pupa wa vipepeo.Wadudu au mafuta?
Ndio maana wana akili mbovu sana hawa jamaaAcha uongo mkuu.
Karibia kila kichwa cha beberu mkubwa kina waduu. Sijui wa kazi gani wale aisee!!!!

Dah nitaishia supu ya nyama tuWadudu kama funza wakubwa.
Wanakaa kichwani
Hivi kwa ngombe vip hamna?Wadudu wakubwa wanafanana na pupa wa vipepeo.
Hadi kwa binadamu wapoHivi kwa ngombe vip hamna?