mwakipesileseba
Member
- Oct 18, 2013
- 16
- 14
Wataalamu wa kilimo naomba msaada, mahindi yameshambuliwa na wadudu.
Wadudu hao hushambulia katikati ya jani tete linalo chipuka. Nitumie dawa gani ili ninusuru mahindi yangu na ya wengine maana ni msimu wa pili mfulululizo mahindi yanashambuliwa.
Wadudu hao hushambulia katikati ya jani tete linalo chipuka. Nitumie dawa gani ili ninusuru mahindi yangu na ya wengine maana ni msimu wa pili mfulululizo mahindi yanashambuliwa.