Wadogo zangu mmh!

Kudaaaaaadek..... Ningalikua mim yan makofi heavy yashatua vichwani mwao kurestore settings za hivyo vichwa vinavojifanya havielewi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kuwadekeza tu, then huyo mama na hao wahusika wapo humu JF au ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una akili Sana aiseeeee! Endelea kuwakumbusha siku moja watakukumbuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo sishauri tabia yake ya kushinda na simu kutwa, ila swala la mwanaume kudeki chooni au kuosha vyombo wakati wanawake wapo siafiki!

Mwanaume ni mwanaume tu hata awe na umri wa miaka 5
Wacha uji.nga😂 Dogo mtoto wako miaka 18 ni mwanaume?

Mtoto gani huyo hajui kupika? Akiishi mwenyewe itakuwaje?

Ila watu wana Raha unabeba mimba inaenda kuilelea kwenu? Mama alishasema kati yetu MTU akibeba mimba kuilea ni huko huko.

Sasa huyo mpuuzi hata kupika hawezi soon atazalia hapo, huyo atafua mikojo ya mwanae? Huu upuuzi ni malezi mabovu
 
mama yako anasema tu ukipata kitumbo atalia baadae anaanza kushelekea mjukuu anakuja wa mama nawafahamu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnyang'anye simu yako, uza, lipia chumba, omba godoro kwa ndugu, potea. Kwani hizo mishe huingizi pesa? Kama huingizi ni yale yale anayeshinda nyumbani nawewe unayezurura. Kama unarudi na chochote uza simu upate hata cha 15,000/
 
Wewe ni ke au me?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana ukubwa shida na mama yenu kawalea na anawalea wadogo zako vibaya.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Aisee kwa hyo kamaliza chuo kaja na mimber alafu ata kumuliza ni ya nani amna!

Hyo wakiume siku akianza kushikishwa ukuta ndio akili zitawakaa Sawa.

Young kilimanjaro
 
nashkuru umensaidia, na hii nmeiona kutoka kwa rafiki wa mama yangu, nilienda kwake nkakuta mumewe anafua furushii kubwa za nguo na mtt wao wa kiume (umri sawa na mdg wangu) akiwa anaosha vyombo huku chungu kipo jikoni. Vitu vingne ni vya kawaida na vyema kujifunza kwa faida ya baadae tu maisha yanabadilika kila leo.
 
Umesema kweli kabisa kuna nyumba watoto wa kiume ni kama wafalme,hakuna kushika kazi yoyotee sio vizuri kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoto wa kiume wanafanya kazi sembuse huyo anajiendekeza. Na huyo Mwenye Mimba angekuwa na MUME wake angemfanyia kazi nani?
Kwa vile naona housework upo ndo maana anasema hivyo 😂
 
Mkuu, kwani bi mkubwa yupo humu

Pengine hata wadogo zako wanalalamika, hivi ukiwa dada ndio unaondoka asubuhi na kurudi usiku halafu ukute chakula kwani wao ni mabeki tatu wako

All in all, naona kuna shida ya kimalezi hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…