Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,231
Wataka ukweli usemwe kwa yaliyomkuta ofisa wa polisi aliyekutwa amekufa ndani ya selo huko Mtwara .
Hoja yao inapata mashiko kwa sababu hakuna Mahabusu anayeruhusiwa kuingia na kifaa cha kujinyongea kwenye selo yoyote Tanzania , hii haijalishi Cheo alichonacho .
Kwahiyo Sarakasi zozote za kuhusiana na kifo cha huyo Polisi zinapaswa kuambatana na utetezi wa kishindo , huku utetezi huo ukipaswa kutujulisha kisa cha Marehemu huyo kuzikwa haraka sana mithili ya marehemu wa kipindupindu , Ebola au Corona .
WATANZANIA SIYO WAJINGA SANA - DR MAGUFULI
Hoja yao inapata mashiko kwa sababu hakuna Mahabusu anayeruhusiwa kuingia na kifaa cha kujinyongea kwenye selo yoyote Tanzania , hii haijalishi Cheo alichonacho .
Kwahiyo Sarakasi zozote za kuhusiana na kifo cha huyo Polisi zinapaswa kuambatana na utetezi wa kishindo , huku utetezi huo ukipaswa kutujulisha kisa cha Marehemu huyo kuzikwa haraka sana mithili ya marehemu wa kipindupindu , Ebola au Corona .
WATANZANIA SIYO WAJINGA SANA - DR MAGUFULI