Wadau wa Masterbation....!! Mmeelewa?

Ligogoma

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2010
Posts
3,502
Reaction score
6,444
Nawasalimu kwa jina la JF,

Hili chapisho lilitolewa mwaka 1875 huko New York katika jarida la mambo ya afya ya uzazi, likionyesha kijana mpiga nyeto anavyoathirika na asiyepiga nyeto. Halikadhalika mtu mzima mpiga nyeto alivyoathirika na asiyepiga nyeto!!

Kumbe kuna uzee unaotokana na kupiga nyeto na si umri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jioneeni wenyewe
 
Mhhh Huyo atakuwa mla unga ,madawa ya kulevya ,pombe ,sigara na mirungii


Ndio anazeeka hivyooo
 
Ngojea nishtue moja chap ndio niendelee kusoma coments
 
Sasa wewe imagine Mtu na akili zake anakula chakula kizuri na kutengeneza protini safi mwilini mwake halafu badala protein ikae na kufanya kazi mwilini anaimwaga chini pasipo sababu yoyote

Ndio mana hata ni dhambi kama tu Onanism.

Hiyo Musturbation inaathiri kabisa Mwili, Akili, fahamu na Roho ya Binadamu.
 
Hahahaaaaa!! Jamaa wataalamu washasema!! Kuzeeka siyo ishu, ishu ni kuzeeka mapema sababu ya nyeto πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Utapinda mgongo na kutanua kwapa kama umebeba kombe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…