Wadau wa kozi za afya tafadhalini

Wadau wa kozi za afya tafadhalini

slmmfm

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
304
Reaction score
65
Naomba ushauri, Nahitaji kusoma coz za afya ila nikiangalia guide book iliopo kwenye web site ya NACTE inaonesha kwa levo ya diploma lazima FORM 4 upate C za bios, chem na phy. Mimi nilimaliza fom4 mwaka 2010 matokeo yang yalikua hiv Phy C, chem D, math B, bios D , english C.
Kwa matokeo hayo sina sifa za kusoma diploma za afya, according to NACTE guide book of 2015/2016.

Ila kwa bahati nilisomaga PCM baada ya kumaliza fom4 na matokeo yang ya advance yakawa hvi PHY D, CHEM E, MATH D (ACSEE 2014)
Kwa matokeo hyo ya advance nilikua na sifa ya kusoma elim ya juu
Nikapata chuo flani hvi (SEKOMU) "bachelor of education special need" inamaana tukifungua chuo saiv naingia mwaka wapili.

Sasa na nahitaji kuchana na habar za ualim ili nisome coz za afya maana nasikia zinalipa kuliko ualim, ila tatizo according to NACTE inabid nianzie certificate kitu ambacho mi sitaki. Ila nimeangalia guide book ya UDOM wao kwa matokeo yangu ya ADVANCE uwezekano wa kusoma diploma za afya upo ( yani nina sifa kwao)

Wasiwasi wangu ni kwamba kwanini UDOM wananikubali kwa matokeo yangu ya advance niende kusoma hzo diploma za afya wakati NACTE hawaangalii matokeo ya advance wana deal na matokeo ya fom4 tu ambayo kwa mim hayaniruhusu kusoma hizo diploma za afya.

Wasiwasi wangu zaidi naweza nikasoma diploma hizo za adya UDOM na mwisho wasiku nikaambiwa sina vigezo yakawa yaleyale ya KAMPALA UNIVERSITY

Tafadhari naombeni michango yenu ya mawazo wadau mnaozijua vzur hizi habari za coz za afya
WELCOME.
 
Naomba ushauri, Nahitaji kusoma coz za afya ila nikiangalia guide book iliopo kwenye web site ya NACTE inaonesha kwa levo ya diploma lazima FORM 4 upate C za bios, chem na phy. Mimi nilimaliza fom4 mwaka 2010 matokeo yang yalikua hiv Phy C, chem D, math B, bios D , english C.
Kwa matokeo hayo sina sifa za kusoma diploma za afya, according to NACTE guide book of 2015/2016.

Ila kwa bahati nilisomaga PCM baada ya kumaliza fom4 na matokeo yang ya advance yakawa hvi PHY D, CHEM E, MATH D (ACSEE 2014)
Kwa matokeo hyo ya advance nilikua na sifa ya kusoma elim ya juu
Nikapata chuo flani hvi (SEKOMU) "bachelor of education special need" inamaana tukifungua chuo saiv naingia mwaka wapili.

Sasa na nahitaji kuchana na habar za ualim ili nisome coz za afya maana nasikia zinalipa kuliko ualim, ila tatizo according to NACTE inabid nianzie certificate kitu ambacho mi sitaki. Ila nimeangalia guide book ya UDOM wao kwa matokeo yangu ya ADVANCE uwezekano wa kusoma diploma za afya upo ( yani nina sifa kwao)

Wasiwasi wangu ni kwamba kwanini UDOM wananikubali kwa matokeo yangu ya advance niende kusoma hzo diploma za afya wakati NACTE hawaangalii matokeo ya advance wana deal na matokeo ya fom4 tu ambayo kwa mim hayaniruhusu kusoma hizo diploma za afya.

Wasiwasi wangu zaidi naweza nikasoma diploma hizo za adya UDOM na mwisho wasiku nikaambiwa sina vigezo yakawa yaleyale ya KAMPALA UNIVERSITY

Tafadhari naombeni michango yenu ya mawazo wadau mnaozijua vzur hizi habari za coz za afya
WELCOME.

Napenda nikushauri jambo moja ndugu, katka maisha kuna sababu nyingi sana za kutafuta njia mbadala za kutoka. Usijaribu kwenda against na nacte, yatakukuta yale ya KIU. Malizia hiyo bachelor ya education halafu tafuta namna ya kutoka baada ya kumaliza. Usije ukaleta confusion, tulia. One step at a time
 
Naomba ushauri, Nahitaji kusoma coz za afya ila nikiangalia guide book iliopo kwenye web site ya NACTE inaonesha kwa levo ya diploma lazima FORM 4 upate C za bios, chem na phy. Mimi nilimaliza fom4 mwaka 2010 matokeo yang yalikua hiv Phy C, chem D, math B, bios D , english C.
Kwa matokeo hayo sina sifa za kusoma diploma za afya, according to NACTE guide book of 2015/2016.

Ila kwa bahati nilisomaga PCM baada ya kumaliza fom4 na matokeo yang ya advance yakawa hvi PHY D, CHEM E, MATH D (ACSEE 2014)
Kwa matokeo hyo ya advance nilikua na sifa ya kusoma elim ya juu
Nikapata chuo flani hvi (SEKOMU) "bachelor of education special need" inamaana tukifungua chuo saiv naingia mwaka wapili.

Sasa na nahitaji kuchana na habar za ualim ili nisome coz za afya maana nasikia zinalipa kuliko ualim, ila tatizo according to NACTE inabid nianzie certificate kitu ambacho mi sitaki. Ila nimeangalia guide book ya UDOM wao kwa matokeo yangu ya ADVANCE uwezekano wa kusoma diploma za afya upo ( yani nina sifa kwao)

Wasiwasi wangu ni kwamba kwanini UDOM wananikubali kwa matokeo yangu ya advance niende kusoma hzo diploma za afya wakati NACTE hawaangalii matokeo ya advance wana deal na matokeo ya fom4 tu ambayo kwa mim hayaniruhusu kusoma hizo diploma za afya.

Wasiwasi wangu zaidi naweza nikasoma diploma hizo za adya UDOM na mwisho wasiku nikaambiwa sina vigezo yakawa yaleyale ya KAMPALA UNIVERSITY

Tafadhari naombeni michango yenu ya mawazo wadau mnaozijua vzur hizi habari za coz za afya
WELCOME.

ndio mkuu unaweza kusoma diploma ya laboratory kwa matokeo yako ya advance
 
ukitumia matokeo ya olevel haupati, kwanza pole naona gap kubwa tangu ulipomaliza olevel mpaka kumaliza advance sijui nini kilikupata... sasa hapo wewe omba kozi za lab kwa kutumia cheti cha form 6, unaweza ukapata.
 
ukitumia matokeo ya olevel haupati, kwanza pole naona gap kubwa tangu ulipomaliza olevel mpaka kumaliza advance sijui nini kilikupata... sasa hapo wewe omba kozi za lab kwa kutumia cheti cha form 6, unaweza ukapata.
hapana sio kwel mkuu, akitumia chet chake cha 4m four anapata certificate ya lab na si diploma,,ili kusoma dip la lab at least awe na chemistry_C & biology-C + D yoyote kat ya math,phy na english
ila akitumia chet cha A-level hawez kupata coz yeye kasoma PCM na hana bios...
 
Kaka omba utapata private,mm nina tatizo kama lako hiko mwakani saiv naingia fourth year lakini nimeamua kuachana na fani hii ya eng na kurudi afya kwa mwakani nikimaliza nimefanya uchunguzi wote nikaomba ushauri hadi humu nikaambiwa inawezekana ila private kikubwa katika maisha haya ni pumzi na uzima hilo ndo la kuomba MUNGU,

Tupo Pamoja sana mkuu
 
achana na ualimu ,,sepa afya usiogope piga hata udom huwez kubuma kwan udom ni public university usiogope
 
hapana sio kwel mkuu, akitumia chet chake cha 4m four anapata certificate ya lab na si diploma,,ili kusoma dip la lab at least awe na chemistry_C & biology-C + D yoyote kat ya math,phy na english
ila akitumia chet cha A-level hawez kupata coz yeye kasoma PCM na hana bios...

kwenye maelezo yake amesena kuwa ye hataki kuanza na certificate na ndio maana kaja hapa kuomba ushuri/mbinu ili aanze diploma..

labda nimshauri hivi, asiogope kuanza na certificate kwani akipata hiyo, diploma atasoma miaka miwili tu..
kama huna certificate ukiomba diploma utasoma miaka mitatu ambapo kimsingi pale ni kwamba mwaka wa kwanza huwa ni kwa ajili ya cert na miwili ndio diplo japo wanaunganisha...

so mkuu usiogope kuanza na cert penye nia pana njia.
 
ukitumia matokeo ya olevel haupati, kwanza pole naona gap kubwa tangu ulipomaliza olevel mpaka kumaliza advance sijui nini kilikupata... sasa hapo wewe omba kozi za lab kwa kutumia cheti cha form 6, unaweza ukapata.

Typing error, nilimaliza fom4 2011
 
Kaka omba utapata private,mm nina tatizo kama lako hiko mwakani saiv naingia fourth year lakini nimeamua kuachana na fani hii ya eng na kurudi afya kwa mwakani nikimaliza nimefanya uchunguzi wote nikaomba ushauri hadi humu nikaambiwa inawezekana ila private kikubwa katika maisha haya ni pumzi na uzima hilo ndo la kuomba MUNGU,

Tupo Pamoja sana mkuu

Sasa private haiwez kua noma zaidi maana kunawa2 nawasikiaga wanasema ukisoma private kupata leseni ni inshu, Eti ni kwel hlo
 
Sasa private haiwez kua noma zaidi maana kunawa2 nawasikiaga wanasema ukisoma private kupata leseni ni inshu, Eti ni kwel hlo


hivi nani hua anawaloga vijana na skendo za mtaani? mdokta wote wamesoma serikalini?
 
Hivi nani huwa anakuwa mshaur wako mkuu! Mi nakushaur songa mbele usirudi nyuma, piga ualimu then masters piga Health Economic or Public Health or Masters in Health System Management. OVER
 
Hivi nani huwa anakuwa mshaur wako mkuu! Mi nakushaur songa mbele usirudi nyuma, piga ualimu then masters piga Health Economic or Public Health or Masters in Health System Management. OVER

ualimu na public heath wap na wapi?
 
Kaka omba utapata private,mm nina tatizo kama lako hiko mwakani saiv naingia fourth year lakini nimeamua kuachana na fani hii ya eng na kurudi afya kwa mwakani nikimaliza nimefanya uchunguzi wote nikaomba ushauri hadi humu nikaambiwa inawezekana ila private kikubwa katika maisha haya ni pumzi na uzima hilo ndo la kuomba MUNGU,

Tupo Pamoja sana mkuu

Maisha safari ndefu mkuu ila kuwa na malengo ni kitu cha msingi sana bila kujali umepitia wapi..Nimemaliza Diploma ya kilimo mwaka jana na nina cheti kizuri tu,lkn nimefanya utafiti,consultancy na watu mbalimbali wakanishauri bora niombe diploma za afya kwa cheti cha fm4..Leo hii ninavyo ongea nimepata nafasi RUAHA kusoma PHARMACY japo miaka mitatu,lkn nimedhamiria kuingia ktk sekta hii.Nilisoma PCM pia ila matokeo ya o-level huwa yana nguvu ktk kupata nafasi za afya.Asante
 
Maisha safari ndefu mkuu ila kuwa na malengo ni kitu cha msingi sana bila kujali umepitia wapi..Nimemaliza Diploma ya kilimo mwaka jana na nina cheti kizuri tu,lkn nimefanya utafiti,consultancy na watu mbalimbali wakanishauri bora niombe diploma za afya kwa cheti cha fm4..Leo hii ninavyo ongea nimepata nafasi RUAHA kusoma PHARMACY japo miaka mitatu,lkn nimedhamiria kuingia ktk sekta hii.Nilisoma PCM pia ila matokeo ya o-level huwa yana nguvu ktk kupata nafasi za afya.Asante

wewe umenielewa kitu nilichotaka kusema
 
Maisha safari ndefu mkuu ila kuwa na malengo ni kitu cha msingi sana bila kujali umepitia wapi..Nimemaliza Diploma ya kilimo mwaka jana na nina cheti kizuri tu,lkn nimefanya utafiti,consultancy na watu mbalimbali wakanishauri bora niombe diploma za afya kwa cheti cha fm4..Leo hii ninavyo ongea nimepata nafasi RUAHA kusoma PHARMACY japo miaka mitatu,lkn nimedhamiria kuingia ktk sekta hii.Nilisoma PCM pia ila matokeo ya o-level huwa yana nguvu ktk kupata nafasi za afya.Asante

uliaaply kupitia nacte?
 
njoo kwenye thread ya madaktar 2chonge...fungua uzi uloandikwa `ni lini post za vyuo vya afya zitatoka?'
 
Back
Top Bottom