Wadau wa Kampala University tukutane hapa

Wadau wa Kampala University tukutane hapa

Kwa walio maliza KIU wanaosoma KIU na walioomba au wanaotarajiwa kuomba tukutane hapa tupembue mbivu na mbichi kwa yanayozungumzwa kuhusu hiki chuo, je mgogoro ilikua kwa watu wa afya tu au na faculty nyingine?[/QUOKibokKukawa yao ukawa,
 
KIU ni moja ya choice kati ya vyuo nilivyochagua wakat wa admision ya (o-diploma in clinical medicn),so wapendwa napenda mnijuze juu ya hicho chuo cha Kampala kuhusu hali yake,je ni Kweli kina mapungufu na matatizo rukuki hasa kwa faculty ya afya? coz naskia kiliwahi kuwa na matatizo kwenye maswala kama vile; kutumia mtaala wa Ugannda,usajili,wingi wa masomo,uhaba wa vtendea kazi na mengine kibao hadi kupelekea mgomo wa madent.

Plz! plz! mnaofaham hali halisi mnijuze matatizo yake au kama kilishatulia pia mniambie,coz naogopa kuingia cha kike mwenzenu
 
plz!! ...mkuu naomba unchek whtsapp 0654948739 nashida na wa2 kma nyie mliopita hpo mnipe mainfoz coz hat me nmeaply KIU medicin
 
KIU ni majanga kila mwaka!!! nasikitika kusikia kwamba kuna watu tena wameapply kusoma KIU!!!! nawashauri mfanye transfer mapema ili msije mkajutia katikati ya safari!!!
 
Aaaah mkuu OZIL embu waacheni vijana wakasome majanga yameshakwisha na lowasa akikamata nchi tutayasahau majanga yote,waacheni watu wakatimize ndoto zao acheni mambo ya kuambiwa Au kuishi kwa historia,vijana kapigeni shule kiu ipo poa tu
 
Back
Top Bottom