Wadau wa Kampala University tukutane hapa

Wadau wa Kampala University tukutane hapa

Hivi migogoro ya kiu bado hajaisha, mbona kama diploma kwa coz za afya nacte walisharekebisha issue ya usajili, ila cijajua kwa level nyingine
 
Oya kwani hapo bado kuna migogoro mbona me nimeomba hapo
 
Tulio apply hapo au ndio itakula kwetu, mwenye taarifa atujuze ili tuanze kufanya mipango mingine
 
Kama umeomba kupitia Nacte au TCU nikwamba hakuna migogoro.

Mimi nasoma hapo naingia mwaka wa pili Social work and Social administration, KIU kuna departments nyingi kuna Development studies, Law, Education, Business, Computer science na health science. Waliokua na migogoro ni health science tu hata kugoma ndio waliogoma ila wengena hatkua na shida kabisa Departments zote kasoro Health science wamemaliza chuo mwanzoni mwa mwezi wa 7.
 
Waligoma kwa sababu zipi?na je hizi tetesi za kuwa kozi za heath science chuo hakijapata usajili ni kweli?maana ninataka apply lkn nasita kidogo
 
Waligoma kwa sababu zipi?na je hizi tetesi za kuwa kozi za heath science chuo hakijapata usajili ni kweli?maana ninataka apply lkn nasita kidogo

Mimi nakushauri upige simu TCU kama ni Diploma piga Nacte ila uwaulize mwenyewe. Ila ukwli nikwamba ilipotokea migogoro tatizo kubwa lilikua ni usajiri board ya Afya ila waziri wa Elimu na wa Afya wote walikuja wakaongea na wanafunzi kwamba chuo kimesajaliwa, ila wanafunzi wengine walikua wanataka kuhama kwhiyo wakaendelea na kugoma baada ya hapo uongozi uliamua kufunga chuo upande wa Afya kwa week mbili na hapo ilikua kama wanafunzi wote wa Afya wamefukuzwa chuo ila ukitaka kurudi u download form yakuomba kurudishwa pia uahidi kwamba huta goma tena ukigoma tena sheria itachukua mkondo wake, wanafunzi wengi walijaza hiyo form wakarudi ndio hawajagoma tena. Ukwli nikwamba chuo kinatambulika na TCU na Nacte pia tatizo lilikua kwenye board ya pharmacy ndio ilikua inachelewesha usajiri. Kwa masomo ya Afya ada ni kubwa pale kwhiyo wanafunzi wengine walikua wanatami kuhamia vyuo vyenye ada nafuu ndio maana walikua wanaendeleza migomo kwsababu watu wa TCU, Nacte, Wizara ya Afya na Elimu walikuja kuongea nao kwamba hakuna tatizo lolote waendelee kusoma ila wao walikua wanasema wanataka wapelekwe vyuo vingine.
 
Asante kwa kunijuza maana nilikuwa najiuliza sipati jibu wiki iliyopita niliona tangazo la coz zao na unaomba kupitia necte na tcu ktk gazeti la mwananchi.wenzangu hapa job wananiambia hakijasili nikabaki kipi ni kipi.ngoja nianze mchakato sasa.
 
Asante kwa kunijuza maana nilikuwa najiuliza sipati jibu wiki iliyopita niliona tangazo la coz zao na unaomba kupitia necte na tcu ktk gazeti la mwananchi.wenzangu hapa job wananiambia hakijasili nikabaki kipi ni kipi.ngoja nianze mchakato sasa.

Ndio kama unaomba kupitia Nacte na TCU nikwamba kimesajiliwa tatizo lilikua board ya pharmacy tu, mwanzoni pia kulikua na course ya MPP ambayo walikua wanasoma semester nzima ambayo ni pre-medicene walikua wanasoma masomo ya Biology, Chemistry, physics na Maths ndio waligoma pia ndio uongozi ukapunguza mda badala yakusoma semester nzima unasoma nusuu semester kwsababu ukisoma hiyo course wanafunzi walikua wanamaliza miaka 5 na nusuu badala ya miaka 5.
 
watu walikuwa mwaka pili walitakiwa waende kuingia mwaka WA tatu wameamua waache chuo wakaombe diplom hamna MTU anaekukataza kwenda nenda ukajionee mwenyewe .but hakikisha cz unayoenda kusoma Kiu i natambulika na bord husika in short chuo kipo tz but mitaala in ya kiganda japo TCU waliapprove.nenda kasome si unataka Afya ennnnh utaipata
 
Kwa hiyo imesha sajiliwa kwenye mabaraza yote ya kitaaluma kama medical council, medical laboratory council, na pharmacy council, sababu tatizo lilikuwa hapo, achana na usajili wa tcu
 
Kwa hiyo imesha sajiliwa kwenye mabaraza yote ya kitaaluma kama medical council, medical laboratory council, na pharmacy council, sababu tatizo lilikuwa hapo, achana na usajili wa tcu

Hilo swali upige semu kwenye hayo mabaraza husika, ila swali ninalotaka kuuliza ni hivi KIU mwaka huu ndio mwaka huu watapata wanafunzi wa diploma kupitia Nacte kwsababu mwaka jana walikua wanaomba mojamoja kwa moja, hayo matatizo kama bado yapo Nacte wengeweka chuo kuomba kupitia wao zaidi baada ya migogoro yote ambayo ilifika hadi bungeni? Mimi nasema kuliko kusikiliza habari mitaani ni vizuri kupiga simu Nacte au board husika utapata jibu.
 
Swala kiu imesajiliwa kwenye mabaraza ya kitaaluma kama pharmacy council, medical council, na medical laboratory council, kwa sababu huu ndio ulikuwa mgogoro mkubwa kwa kiu
 
Swala kiu imesajiliwa kwenye mabaraza ya kitaaluma kama pharmacy council, medical council, na medical laboratory council, kwa sababu huu ndio ulikuwa mgogoro mkubwa kwa kiu

Ndio maana nimesema mpige simu kwenye hayo mabaraza husika msipopiga mtajua je? Kwsababu kipindi tunafunga chuo faculty mwezi wa 7 faculty nyingine wanafunzi wa Afya walikua wanaendelea na masomo yao pia hawajagoma tena. Kwhiyo kama mwanafunzi mtalajiwa unatakiwa upige simu kwnye hayo mabaraza mwwnyewe kwsababu nina weza kusema kimesajiriwa kumbe uongo nina masilai yangu binafsi pia naweza kusema uongo kwamba hakijasajiriwa kwa chuki zangu binafsi kwhiyo ushauri wangu nikwamba pigeni simu kwenye mabaraza husika.
 
duuh! mm nme apply hapo cozi ya clinical medicn(CO).sasa yanayo zngumzwa humu yananivnja moyo maana hamna mweny uhakika na usajl wa hikitu.nimebak njia panda msaada wenu plz km yupo anaepga hiz cozi hapo atusaidie ndugu.
 
duuh! mm nme apply hapo cozi ya clinical medicn(CO).sasa yanayo zngumzwa humu yananivnja moyo maana hamna mweny uhakika na usajl wa hikitu.nimebak njia panda msaada wenu plz km yupo anaepga hiz cozi hapo atusaidie ndugu.

kuweni makini nawaasa maana ada no za kwenu ila kiukweli naumia sana mengine hatuwez kuandika humu ila tuwe makini cz naongea nimeshuhudia watu wanavyohangaika had I sasa sababu ya hiko chuo .Google upate detail za chuo ndo upige simu huko
 
bodi ya wafamasia ilikiambia chuo moja ya masharit ili ikitambue ni kwamba kiajiri malecturer wanaotambulika na hiyo bodi na sio waganda wasiotambulika bodi, hili pia lilikuwa gumu, sijui kama limetekelezwa, labda watuambie wanaosema kimesajiliwa, wanafunzi waliorudi waliona hamna namna tu, kuna ninaowafahamu wapo mpaka leo mtaani na wamepostpon mpaka kitakapopata usajili.
 
Back
Top Bottom