Husband seeker
Senior Member
- May 6, 2018
- 125
- 76
Asanteni kwa haya.
1. Mmenichagulia gauni zuri la maids .
2. Mmenipa support siku zote hizi kwa ushauri na mengine.
3. Nawatakieni amani na furaha.
Leo ninafuraha nimepewa visa ya Finland katika Ubalozi wao. Tumepiga picha nyingi ila naogopa kuwapa. Passport nilipata sikunyigii. Tu tena zile nzuri za juzi. Nafuraha munoo.
Sanaa tupo hapa moja ya hoteli tukipongezana kwa maana ni watu tisa ndio wataenda nje kwa harusi wote wamepata kabisa. Nirahisi kama hukai nchi ya watu sana.
Gauni limekuwa tayari kilichobaki tu kuletwa ni pete za ndoa nafuraha sana, Sana sijui sanaaa
Sanaaa jamanii sanaaa
ππππππππππ
Nawacheka wote walioniringia yaani nakiporo chenu. Poti lipojikoni. Nitaepuwa soon ngoja nikale bata kwanza honeymoon dubai sijawahi kuona dubai kwa macho.
So baada ya harusi finland dubai kwa sana. Kha mwezi hivi honeymoon yetu tutailia dubai. Halafu zanzibar my babe wants to visit Zanzibar and Pemba for 2 weeks. Halafu na comorro kwanini tusile life lakini?
Naraha sana. Eti nitafumuliwa marinda. Hata nyie mtafumulia hizo kaputula zinazoishia chini ya kiuno. Kwa sasa byeee ngoja babe ananiita kwanza nikampe massage.
1. Mmenichagulia gauni zuri la maids .
2. Mmenipa support siku zote hizi kwa ushauri na mengine.
3. Nawatakieni amani na furaha.
Leo ninafuraha nimepewa visa ya Finland katika Ubalozi wao. Tumepiga picha nyingi ila naogopa kuwapa. Passport nilipata sikunyigii. Tu tena zile nzuri za juzi. Nafuraha munoo.
Sanaa tupo hapa moja ya hoteli tukipongezana kwa maana ni watu tisa ndio wataenda nje kwa harusi wote wamepata kabisa. Nirahisi kama hukai nchi ya watu sana.
Gauni limekuwa tayari kilichobaki tu kuletwa ni pete za ndoa nafuraha sana, Sana sijui sanaaa
Sanaaa jamanii sanaaa
ππππππππππ
Nawacheka wote walioniringia yaani nakiporo chenu. Poti lipojikoni. Nitaepuwa soon ngoja nikale bata kwanza honeymoon dubai sijawahi kuona dubai kwa macho.
So baada ya harusi finland dubai kwa sana. Kha mwezi hivi honeymoon yetu tutailia dubai. Halafu zanzibar my babe wants to visit Zanzibar and Pemba for 2 weeks. Halafu na comorro kwanini tusile life lakini?
Naraha sana. Eti nitafumuliwa marinda. Hata nyie mtafumulia hizo kaputula zinazoishia chini ya kiuno. Kwa sasa byeee ngoja babe ananiita kwanza nikampe massage.