Wadau wa JF

Husband seeker

Senior Member
Joined
May 6, 2018
Posts
125
Reaction score
76
Asanteni kwa haya.
1. Mmenichagulia gauni zuri la maids .
2. Mmenipa support siku zote hizi kwa ushauri na mengine.
3. Nawatakieni amani na furaha.

Leo ninafuraha nimepewa visa ya Finland katika Ubalozi wao. Tumepiga picha nyingi ila naogopa kuwapa. Passport nilipata sikunyigii. Tu tena zile nzuri za juzi. Nafuraha munoo.

Sanaa tupo hapa moja ya hoteli tukipongezana kwa maana ni watu tisa ndio wataenda nje kwa harusi wote wamepata kabisa. Nirahisi kama hukai nchi ya watu sana.

Gauni limekuwa tayari kilichobaki tu kuletwa ni pete za ndoa nafuraha sana, Sana sijui sanaaa
Sanaaa jamanii sanaaa

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰
Nawacheka wote walioniringia yaani nakiporo chenu. Poti lipojikoni. Nitaepuwa soon ngoja nikale bata kwanza honeymoon dubai sijawahi kuona dubai kwa macho.

So baada ya harusi finland dubai kwa sana. Kha mwezi hivi honeymoon yetu tutailia dubai. Halafu zanzibar my babe wants to visit Zanzibar and Pemba for 2 weeks. Halafu na comorro kwanini tusile life lakini?

Naraha sana. Eti nitafumuliwa marinda. Hata nyie mtafumulia hizo kaputula zinazoishia chini ya kiuno. Kwa sasa byeee ngoja babe ananiita kwanza nikampe massage.
 
hata kapicha kamoja kati ya nyingi ulizopiga maanake hainogi picha tafadhari
 
Mkuu angalia shombo zako isije wakakwendea kwa mshana jr akatuma panya wazitafune hizo pass pamoja na visa ukaishia kulialia.
 
Yaani inaonyesha ni jinsi gani ulivyokuwa haujiamini na kujikubali.
Ndiyo maana hilo linakupa kiwewe.
Bado unashukugi tuu siku zote
.
Ina maana wewe ni mbaya sana??
ha ha haa ndoa kwa wakati huu zimekua adimu kama TANZANITE ukiipata inatakiwa uende ukatoe sadaka ya shukrani kanisani ooooooooohhhhhπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
ha ha haa ndoa kwa wakati huu zimekua adimu kama TANZANITE ukiipata inatakiwa uende ukatoe sadaka ya shukrani kanisani ooooooooohhhhh
Wala hazijawa hadimu mkuu.
Mwanamke ukiwa unajitambua, unajiamini, upo smart kichwani, upo smart mwonekano ( mavazi), unajituma , una ushauri " endelevu". Wanaume wa kukuoa watakuja wengi utafanya kuchagua tuu.
 
Unajua kwanini ndoa zinavunjika?? Tunaishi katika jamii ambayo inatarajia ikupe some sort of respect kama ukioa au kuolewa, yaani unakuta mtu asipooa au kuolewa anakua labeled ndio it reaches a point dada zetu wanakubali kuolewe na yoyote yule sababu wazazi and ndugu are extremely pressuring them. It is okay kutokuoa or kutokuolewa, fanya ukiona kuna usahihi sio kufatisha hizi stereotypes za hovyo.
 
kama sijaelewa ni dada yetu amepata mume wa nje au inakuwaje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…