Wadau wa Elimu Mnalielewa hili?

Wadau wa Elimu Mnalielewa hili?

Bueno

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2022
Posts
34,610
Reaction score
59,588
Picha inaongea mimi sitosema mengi na hii sio AI ni Human Intelligence (HI)
Screenshot_20250620_025651.jpg
 
Kweli 2 zidisha na 2 sawa sawa na nne au 22?

Yaan 2×2 =4 au 2×2 =22?

Halafu 2 ukijumulisha na 2 sawa sawa na nne au 22?

Yaan 2+2 =4 au 2+2 =22?

Hivi elimu ni kazi au elimu na kazi?
 
Dah mimi niliishia pozi mwaka juzi binti yangu akiwa anakaribia kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi alinifuata na kuniambia akimaliza kidato cha nne anataka aende chuo,hataki kidato cha tano na cha sita.
Hadi sasa yupo kidato cha pili na msimamo wake ni huo!
 
Angalizo, mtoto ukimpeleka Diploma akitokea form four, mpeleke vyuo vyenye diploma 100%.

Kama utampeleka vyuo vikuu ambavyo pia siku hizi vina course nyingi za diploma, jiandae kwa lolote.

Watoto wanaosoma Diploma kwenye vyuo vikuu wanateseka sana kwasababu ya interaction kubwa na wanafunzi wa degree na masters.

Wanaishia kuwa vyakula vya hawa wenye maboom Yao.

Halafu mtoto wa form four akili haijapevuka vizuri kupambanua mambo au kuresist vishawishi vya makundi Rika.

Kwa hiyo kupanga ni kuchangia ndugu wazazi.
 
Back
Top Bottom