ILLICH
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 240
- 184
Maswali yangu ni haya,je,nchi yetu ya Tanzania ina maraisi wangapi? na makamu wa raisi wangapi?je,Dr Bilal,makam wa raisi wa Tanzania anahudumu Tanganyika na Zanzibar?kama sio,huu sio mfumo serikali 3?je,bajeti ya kuwahudumia Bilal,Balozi Idd na Maalim Seif ni kiasi gani?je,hii gharama haiwezi kuwa zaidi ya kumwongeza kiongozi mmoja tu wa Tanganyika na hawa watatu tukawafuta?
Jamani tujadiliane na tuelimishane tu..Aksanteni
Jamani tujadiliane na tuelimishane tu..Aksanteni